Recent content by The Game Changer

  1. The Game Changer

    Uso kwa uso na mke wa rafiki yangu gesti

    I hope huyo mke wa rafikiyo sio mtumiaji wa Jamiiforum. Vinginevyo panga litakata kote kote kutegemea na maamuzi yako..
  2. The Game Changer

    Mwanza International Airport Kumaliza Utata na Kenya

    Duh. Watu wanabisha hypothetically. Ni vizuri kutumia hata internet kupata fact. Klm siku zote inatua KIA kabla ya JNIA.
  3. The Game Changer

    Aliyeandaa sera ya elimu apaswa kufungiwa jiwe la kilo elfu na kutupwa baharini

    Nishati ni tabia ya vitu, inayoweza kusafirishwa kutoka kitu kimoja kwenda kingine kwa misingi ya mwingiliano, ambayo inaweza kubadilishwa na kuwa aina nyingine ya tabia zinazoshabihiana lakini haiwezi kuundwa au kuharibiwa.
  4. The Game Changer

    Aliyeandaa sera ya elimu apaswa kufungiwa jiwe la kilo elfu na kutupwa baharini

    Mi nafikiri bado ujawajua vizuri wasomi wa kitanzania, nchi hii imejaa mabingwa wa kukariri sio wasomi...wanapokwambia hapa tutawezaje bila kingereza wanamaanisha intavyuu za wazungu ndio mawazo yao yalipokimbilia kwamba tutawezaje intavyuu za mashirika ya wazungu ndio maana wanakwambia wakenya...
  5. The Game Changer

    Aliyeandaa sera ya elimu apaswa kufungiwa jiwe la kilo elfu na kutupwa baharini

    Katika vitu nilivyokuwa naomba kama mabadiriko katika elimu ya Tanzania ni kutumia Kiswahili kama elimu YA kufundishia. Pamoja na mapungufu Mengi ya serikali YA Jk, haya ni maono yaliyotukuka. Iweje usome kwa kiingereza uweze kuhusianisha na mazingira yanayokuzunguka wakati Huna msamiati huo...
  6. The Game Changer

    Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

    Please tuwekee attachment tupate insight. Naona umeisahau brother.
  7. The Game Changer

    Je, ni kweli wanaooa wanawake wa kizungu wanaoa reject materials?

    Duh.Yataka moyo ati. Najaribu imagine kupeleka nusu ya mshahara halafu huyo mama tayari ana mume mwingine asiye na kazi. Yaani unapeleka hela kutunza mwanaume mwingine. inaumaje.....
  8. The Game Changer

    Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

    Mkuu, kuna huduma nyingine unakuta wao ndo wameshikilia karibu sector nzima.. pia kuna mazingira unalazimika tu kuingia maeneo yao hata kama hutaki. Pamoja na hayo, ni vyema tukatafuta namna ya kupeleka ujumbe positively maana bado tunahitaji biashara ili uchumi wetu ukue....
  9. The Game Changer

    Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

    Kuwaambia ni good idea....lakini tunaweza enda extra mile....make their business suffer. ..na hapo ndo watajifunza in a great way. Hivi hivi nadhani haya yataendelea milele....:mad:
  10. The Game Changer

    Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

    Mkuu, sikuzoea kutukana.
  11. The Game Changer

    Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

    Habari za Weekend Wakuu.. Kumekuwa na report mbalimbali za watanzania wenzetu wa asili ya kiafrika kubaguliwa sehemu mbali mbali kama mahoteli, migahawa, maduka na kadhalika. Mfano, una pesa yako, unaenda hotelini na huduma mpaka ubembeleze. Wakati huo huo akitokea mtu wa jamii nyingine...
  12. The Game Changer

    Ushauri kwa rais: Mahakama za jadi tunaziomba kwani Wapagani tunaonewa

    Laws made to discriminate other people are not laws. ..they are simply frameworks for crime.
  13. The Game Changer

    Taarifa rasmi ya PAC juu ya jinsi wanavyotuibia kupitia ATCL

    My country is a very devastating place..You must learn to protect your emotions if you wish to prevent matters of corruption from devastating you!!:mad:
  14. The Game Changer

    Huyu binti kwanini kajinawisha na coca cola?

    Interesting. . Labda alikuwa anaongeza ladha....alitaka u feel unakunywa coke :)...
Back
Top Bottom