Recent content by The End..

  1. The End..

    Nahitaji mume miaka 40-70

    mimi nipo 72 vp nina vigezo..?
  2. The End..

    Kitu gani kipya umejaribu na mwanamke au mwanaume wako hivi karibuni?

    Ungekuwa mke wangu nakuapia ningefukuzwa kazi maana sio utoro ningeongesha
  3. The End..

    Kutemea mate wakati wa tendo

    Ha!! Ha!! Ha!! Ha!! Ha!!
  4. The End..

    Nimemuona mwizi mahali ninapoishi

    Mwite huyo jamaa mwambie arudishe unampa masaa 4 yakipita unaweka kila kitu hadharani
  5. The End..

    Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

    huyo ni mshenzi tu.... wewe hukuwa na haja ya kumfanyia visa.... endelea tu na maisha yako ya kawaida usimfukuze wala usihame.... rudi nyumbani nenda kazini fanya kama unaishi na mdogo wako..... ishi kiume...
  6. The End..

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    jibu hili hapa sasa we jifanye shorokani yakukute
  7. The End..

    Sawa Harmonize kakososea, ila mungu wako sio mungu wa Harmonize

    nimeandika halaf nikafuta naogopa nisije kumkosea mungu wangu.....
  8. The End..

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    we muoe tu mkishindwana si mnaachana kwani shida ipo wapi
  9. The End..

    Tuelimishane Quran

    yaan maisha bhana..... tupo bize kubishana kuhusu dini kuliko kumtafuta mungu... amin amin nawaambia kama huna upendo basi hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima, wewe si kitu kwa mungu...
  10. The End..

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    acha ccm waendelee kutawala hii nchi..... sijaona wapinzani wenye uchungu na nchi hii...
  11. The End..

    Mambo 4 yanayoangusha uongozi wa Rais Samia

    katika mambo tunayokosea sisi watanzania ni wepesi wa kulaumu na kukosoa kuliko kushauri na kupendekeza...
Back
Top Bottom