huyo ni mshenzi tu.... wewe hukuwa na haja ya kumfanyia visa.... endelea tu na maisha yako ya kawaida usimfukuze wala usihame.... rudi nyumbani nenda kazini fanya kama unaishi na mdogo wako..... ishi kiume...
yaan maisha bhana..... tupo bize kubishana kuhusu dini kuliko kumtafuta mungu... amin amin nawaambia kama huna upendo basi hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima, wewe si kitu kwa mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.