Recent content by The End..

  1. The End..

    Sawa Harmonize kakososea, ila mungu wako sio mungu wa Harmonize

    nimeandika halaf nikafuta naogopa nisije kumkosea mungu wangu.....
  2. The End..

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    we muoe tu mkishindwana si mnaachana kwani shida ipo wapi
  3. The End..

    Tuelimishane Quran

    yaan maisha bhana..... tupo bize kubishana kuhusu dini kuliko kumtafuta mungu... amin amin nawaambia kama huna upendo basi hata uwe na uwezo wa kuhamisha milima, wewe si kitu kwa mungu...
  4. The End..

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    acha ccm waendelee kutawala hii nchi..... sijaona wapinzani wenye uchungu na nchi hii...
  5. The End..

    Mambo 4 yanayoangusha uongozi wa Rais Samia

    katika mambo tunayokosea sisi watanzania ni wepesi wa kulaumu na kukosoa kuliko kushauri na kupendekeza...
  6. The End..

    Kuna wanawake wanajua mapenzi utadhani ni majini mahaba

    unatuaibisha kama vp left tu kwenye group letu....
  7. The End..

    Yanga mmeshindwa kuutumia Uwanja wa Mkapa, mmeshindwa kupiga penati, sasa mnadai goli la kuotea

    kwa maelezo yako inaonekana hata mpira hukuangalia ila unaropoka kama wanawake wa baa wakiwashangilia wanaume waliokuja na magari ..
  8. The End..

    Kwa takwinu hizi, Yanga kutolewa ni haki, ingeitoa Mamelodi ndio isingekuwa haki, Mamelodi alikuwa timu bora

    naona hapo shot on target ni zero.... maana yake hata lile goli pia mpira ulipaa juu ukashuka kwa kipa
  9. The End..

    Ukiwa mtumishi wa umma hakikisha kila wiki unatengeneza fedha sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja

    hapo bado hajakopa benki halaf mipango haikwenda sawa na salary slip isome 200,000 bado kuna madeni ya vikoba...
  10. The End..

    Namchukia sana Mama yangu

    kumbe alikupeleka kwa bibi na bibi alikupokea vizuri.... naona bado hujakuwa huwezi kuelewa kitu...
  11. The End..

    Mstaafu anapewa milioni 17 baada ya miaka 40 mbunge millioni 17 kwa mwezi

    kiongozi wa kweli ni mungu tu.... hawa wengine ni kutafuta jina na pesa baaaaaasiiiiiii
  12. The End..

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    ulitegemea angefanya kitu....!!!? nipo paleeeeee
Back
Top Bottom