ilikuwa hivyo bunge la katiba watu wamegoma na wengine wakapiga hela na hatukuambia ile hela waliyotakiwa kulipwa imefanyiwa nn
kwahy kusema wapinge hiyo hela ni kudanganya tu maana walio wengi na ndioooooo
kiukweli ccm ni shidaaa
kura yangu na wengine pamoja tufanye mabadiliko hata kama...
sijaelewa anakosoa waliyokwisha Fanya au anaomba urahc akarekebisha makosa?
mwekeni huyu iwe rahc kuloweka boflo kwa kikombe cha kahawa.Sera zake zinaonesha hakika ccm hawawezi tena kuongoza.hamuwezi kupewa nchi ili mkakomeshe kufanya kazi kwa mazoea wakati nyie ndo mnasimamia hayo mazoea
ni kweli mm mwenyewe hiyo form ninayo hapa.maelekezo tuliyopewa hicho kipengele hatutakiwi kukijaza maana mwanzoni walitaka zoezi lifanyikwe kwa pamoja ila ikagundulika hizi taasisi hazifungamani .
kweli hiki chama ni cha wachache wenye uwezo na kujenga njia safi ya kulindana.Ndani ya ccm hawapendi mfuata sheria.Wanajitaidi wawezavyo waweke zoobaa ambalo watalipeleka kifisadifisadi tu.Membe atakuwa chaguo la chama na. si chaguo la wananchi.naona urahc uleeeeee kwingine na si ccm.
Mwaka...
mzee na wewe umechoka zaidi hamjui mwelekeo wote.t-shir MI mwenyewe ninayo nimenunua kwa Pesa yangu Tsh 15000.
na ni wengi nimeshuhidia wananunua.labda kama umepewa bure wewe na family yako.muda wote hukusema hafai Leo Ndo unafunguka.zaidi ya LOWASA ccm hakuna.kama si LOWASA awamu hii basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.