UKAWA walizoea malezi ya babu na bibi wakawa wanavunja taratibu na kanuni za bunge wakiambiwa eti wakiwa watu wazima wataacha. Sasa wamekutana na baba na mama wanachapwa pale pale wanapokosea. Wanaona wanaonewa na kutamani kurudi kwa babu na bibi. Wazoee tu na wajifunze kufuata taratibu na...
Mnadanganya wasiojua. Mbona walisaini na pesa walichota ndio wakatokomea kusikojulikana. Wanachogomea wa la hakieleweki. Walikuwa wanapigana vita waliyojua watashindwa. Why gofor a war while knowing you will be defeated?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.