Recent content by The Conspire

  1. The Conspire

    PINDA: Ukiwa mkaidi usilalamike pale kichapo kitakapokufikia

    vurugu zimekuwa zikitokea hasa katika mikoa ya Mtwara na Arusha. Na ni dhairi inajulikana kuwa vurugu hizi zinatokana na uchochezi wa kisiasa. Mambo haya yamekuwa yanatishia amani ya Nchi kwa ujumla. Akijibu maswali ya papo kwa papo, Mh. Waziri mkuu ametoa rai kuwa orodha ya wakaidi inajulikana...
  2. The Conspire

    Mitafaruku bungeni

    Kwa wale wanaofuatilia shughuli za Bunge, nadhani watakubaliana na ukweli kuwa wazee wa miongozo ni chanzo cha mitafaruku ndani ya Bunge.
  3. The Conspire

    CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?

    Binafsi mimi nilishachoshwa na ushabiki wa vyama vya siasa. Hili lilitokea pale nilipogundua kuwa siasa ni mchezo mchafu, yaani nashabikia mimi lakini matunda anafaidi ninayemshabikia. Moto ukilipuka ninayemshabikia anakwea pipa nakuniacha nikipambana na mashabiki wa upinzani. Labda sikuielewa...
  4. The Conspire

    Nini msimamo wa CHADEMA kuhusu Azimio la Arusha?

    Jenga hoja kaka usiuze mbuzi kwenye gunia kwa sababu za ushabiki tu (Naona unajaribu kuipigia debe Chadema bila vielelezo). Eleza azimio litakaloletwa na chadema kama lipo, kwa kukusaidia labda ujaribu kucheki reply ya Highlander. Hajaleta azimio la chadema lakini kajaribu kujenga hoja juu ya...
  5. The Conspire

    CHADEMA yakimbiwa na wasomi, Katibu CHASO ahamia CCM

    Naomba kuhoji, mbona vijana wanaondoka mmoja mmoja Chadema? Kwanza Juliana, Mtela, .... na sasa Kalemela. Hawa wote ni wasomi na wana akili zao timamu. Wamelikalia kuti, wakaona kuwa ni kuti kavu na linaweza kuwaporomosha mda wowote hivyo wakaamua kufanya maamuzi haraka. USHAURI KWA VIJANA...
  6. The Conspire

    Ubinafsishaji, soko huria + utandawazi vinatupeleka wapi?

    Hodi wana Jamii Forum! Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, na nina hoja moja inayoniumiza kichwa ningependa kuijadili pamoja na yeyote atakayeguswa. Hoja iliyonigusa ni juu ya suala zima la ubinafsishaji. Binafsi ninaamini kwa kiasi kikubwa kuwa ubinafsishaji ni sehemu kubwa sana inyochangia...
Back
Top Bottom