Uliposema watanzania ulikuwa umemaliza, Sio viongozi si wananchi. Wote tunashida mahali, Kwanini serikali iruhusu hao jamaa kuingia kwenye mfumo wa fedha wa Nchi kama haijasajiliwa ?
Hapa pote hiyo list sijawahi ingia, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anakomaa eti nijiunge na GNLD, nikamwambia kama vipi nikopeshe. Lakini kwa mtizamo wangu ba uchunguzi wangu naona kama GNLD na FOREVER ni ponzi schemes ambazo hela ya kule sio rahisi kama inavyofikirika.
Pamoja na hayo kuna...
Mmh ! Nchi yetu inapitia mengi sana asee. Katiba mpya inaweza kuleta ahueni kwa baadhi ya mambo.
Yote kwa yote, Mzee Mwendazake alikuwa na madhaifu yake ila kwenye kuupiga mwingi aliupiga sana. Sasa hivi porojo zimekua nyingi sana kwa mawaziri, Mgao wa Umeme na Changamoto zingine kwa Mzee Magu...
Jeshi letu la Polisi kuna mahala linapwaya.! Taarifa iliyotolewa haijatosheleza, Wanapaswa kuwahoji masanja na Mke wake na washiriki wengine. Hapo kuna ukweli fulani ambao unahitaji uthubutu kidogo tu wa Kufikia kwenye ukweli. Eti mtu ajinyonge kisa kakataliwa ? Kweliii ? Wangapi na mara ngapi...
Mmmh sawa bhana! Ila kuna muda niliaminigi kuwa January anaweza kutufaa kwenye kiti cha Urais lakini baada ya kupewa wizara ya Nishati .. mmh nikakosa imani kabisa.
Kwa upande wa Nape, Hapana asee. Nape anamajibu ya dharau sana hata nduguye Mchemba. Nape ameshindwa kuyabana makampuni ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.