Pole sana kwa tukio mkuu maana inauma sana!.. Ila hongera sana kwa kuwa jasiri na kujizuia hisia na hasira yako kuwaka.
Cha msingi tuendelee kutopoteza focus ya kutafuta maisha na Mungu atabariki kazi za mikono yetu.
Tatizo huwa ni nini mpaka mnaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu?.?.. Lengo lako kuu ilikuwa ni nini mpaka unaingia kwenye mahusiano na mume wa mtu angali wajua ana mke?. .
Shida ni TAMAA ambayo inaenda kukuponza maana naona huyu jamaa anaweza kukufanya kitu kibaya ama huyo Kijana uliyenae...
Huyu mume wa mtu umempenda kwa sababu kubwa 2.
1.Anakutimizia mahitaji ya kimaisha ambalo ni kubwa zaidi, kwa maana umesema fedha anayo na anakusomeshea mwanao (Nimeona umemjibu mdau mmoja aliesema kikubwa akusomeshee mwanao)
2. Anampenda mwanao.
Zote hizo ni conditional element of your...
Unawezaje kumtoa Rais Samia kwenye dhahama ya ukopaji awamu ya tano!?.?.. Kwani yeye hakuwa sehemu ya serikali, tena makamu wa Rais, hii inaonyesha kuwa alikuwa anayajua yote mambo yanayoendelea.
Tujiulize kitu kimoja, ni afya kweli kukopa deni ili ulipe deni?.?. Katika uchumi si hali nzuri...
Vijana wa siku hizi hamnazo kabisa. Yaan katiba inavunjwa wanashabikia na kuita wivu wa kike.. Inabidi mkoloni aje tena atutawale ili mbongo zetu zifanyiwe Restore Factor setting. Labda tukipitia machungu ya kuwa watumwa na kuvunjiwa haki akili itakaa sawa na kufahamu umuhimu wa haki, sheria na...
MATAGA huwa mnateseka sana na CDM asee na mmeshikwa pabaya.. Hila kifanye chama tawala kama tukio la Lissu,Alphonce mawazo, Ben Sa8 nk, ila lawama ziibuke kwa wapinzani [emoji23][emoji23], Ridiculous. Tujifunze kujibu kwa hoja sio kutumia mabavu na visasi!.!.
Hizi akili mbovu kabisaaa.. CCM wenyewe wanamshambulia JoBo kwa kuwaweka wale COVID-KUMI NA KENDA, ambao wako kinyume na katiba alafu kuna mtu anaibuka kusema CDM sio wa kuwapa nchi kwa sababu ya visasi,. Mwendazake alivyokuwa na visasi ninyi hamkuviona. Watu wakisimamia katiba inayovunjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.