Recent content by The choosen one1

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Wewe bado una trade demo huwezi elewa,
  2. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Loss ndogondogo sio shida, zinaweza ku accumulate kuwa loss kubwa in a long run,
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Hamna specifics kwenye forex, leo utapoteza kwa sababu hii, utairekebisha kesho utapoteza bila sababu yoyote.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Beginners wa forex huwa mna expectations kubwa sana, Wewe endelea kujifunza ila tambua kila siku utakuwa unaona kama upo karibu kuwa expert na hilo Tumaini utaishi nalo miaka yote. Sio jaunarling tu me nimefanya backtesting sana, vitabu vya price action kama vya al brook nimepitia mno, vitabu...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Bora kubeti, forex ni addictive hatari na inanyonya hela balaa,
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Bora niweke focus kuongeza competence kwenye career yangu. Forex unapiga hatua tatu mbele kisha nne nyuma. Sio discipline wala strategy kitakachokuokoa.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo (HESLB) wanachelewesha boom la 3 isivyo kawaida, maisha yanazidi kuwa magumu

    Zinaelekea siku 80 sasa tangu tupokee boom la 2. Kwa kawaida boom tunapokea ndani ya siku 60 hadi 70. Kuchelewesha boom la 3 kiasi hiki bila taarifa yoyote kunawaweka wanafunzi wengi kwenye wakati mgumu. Naomba kuwasilisha.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Nipo Chuo, najijenga kiuchumi lakini mahusiano yananipiga Chenga, msaada!

    Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua naombeni muongozo. Ahsanteni sana.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Naombeni caption kali kuambatanisha na picha yangu kwenye mitandao ya kijamii

    Huwa sina tabia ya kujipost status, Facebook, au Instagram lakini ikitokea nimebahatisha picha moja kali siwezi kutulia nayo kwenye simu. Sasa wakuu naombeni caption kali ambayo ipo neutral na inspiring sio ya chatgbt kama wanavofanya wengi Inaweza kuwa quote au maneno machache tu yanayofit...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa nasoma kuhusu HIV nimegundua kuna uwezekano vijana wengi sana ni waathirika wasiojua

    Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili wanaweza kuanza kuziona around 2028 kuendelea. Kipindi chote hiki wanaweza kuishi kwa kuwaambukiza...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Hii hali ya hewa ya Dar (mvua) imenifanya nipitie upya contacts zangu

    Hali ya mvua, plus ni weekend, utulivu wa kutosha. Nyie huwa mnafanya nini nyakati kama hizi.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Art of Seduction kimenipotezea mtoto mkali

    Ndio zipi hizo mkuu
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Art of Seduction kimenipotezea mtoto mkali

    Me nilijua kwa kutokuwa predictable mfano siku ya Valentine sikumtumia hata text, ku keep distance kisha unarudi na vibe, kum treat kama victim. Basi ningemsogeza karibu zaidi. Lakini nasikitika kuwaambia kuwa kwasasa anani avoid sana , text hajibu yaani ile connection imepotea, ndege...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Kuna vijana sio GenZ

  15. T

    JamiiForums Tanzania Kuna vijana sio GenZ

    Unakuta kijana ana elimu nzuri tu na nidhamu ila hayuko familiar kabisa na maisha mengine ya kidijitali. Kijana hajui kutumia word, hajui hata Chatgbt ni nini, kijana anapeleka simu kwa fundi ku install apps au ku rest simu. Kijana hamjui Maduro wala hajui kinachoendelea Iran. Kwa kifupi...
Back
Top Bottom