Recent content by The choosen one1

  1. T

    Bodi ya mikopo (HESLB) wanachelewesha boom la 3 isivyo kawaida, maisha yanazidi kuwa magumu

    Zinaelekea siku 80 sasa tangu tupokee boom la 2. Kwa kawaida boom tunapokea ndani ya siku 60 hadi 70. Kuchelewesha boom la 3 kiasi hiki bila taarifa yoyote kunawaweka wanafunzi wengi kwenye wakati mgumu. Naomba kuwasilisha.
  2. T

    Nipo Chuo, najijenga kiuchumi lakini mahusiano yananipiga Chenga, msaada!

    Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua naombeni muongozo. Ahsanteni sana.
  3. T

    Naombeni caption kali kuambatanisha na picha yangu kwenye mitandao ya kijamii

    Huwa sina tabia ya kujipost status, Facebook, au Instagram lakini ikitokea nimebahatisha picha moja kali siwezi kutulia nayo kwenye simu. Sasa wakuu naombeni caption kali ambayo ipo neutral na inspiring sio ya chatgbt kama wanavofanya wengi Inaweza kuwa quote au maneno machache tu yanayofit...
  4. T

    Nilikuwa nasoma kuhusu HIV nimegundua kuna uwezekano vijana wengi sana ni waathirika wasiojua

    Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili wanaweza kuanza kuziona around 2028 kuendelea. Kipindi chote hiki wanaweza kuishi kwa kuwaambukiza...
  5. T

    Hii hali ya hewa ya Dar (mvua) imenifanya nipitie upya contacts zangu

    Hali ya mvua, plus ni weekend, utulivu wa kutosha. Nyie huwa mnafanya nini nyakati kama hizi.
  6. T

    Kitabu cha Art of Seduction kimenipotezea mtoto mkali

    Me nilijua kwa kutokuwa predictable mfano siku ya Valentine sikumtumia hata text, ku keep distance kisha unarudi na vibe, kum treat kama victim. Basi ningemsogeza karibu zaidi. Lakini nasikitika kuwaambia kuwa kwasasa anani avoid sana , text hajibu yaani ile connection imepotea, ndege...
  7. T

    Kuna vijana sio GenZ

    Unakuta kijana ana elimu nzuri tu na nidhamu ila hayuko familiar kabisa na maisha mengine ya kidijitali. Kijana hajui kutumia word, hajui hata Chatgbt ni nini, kijana anapeleka simu kwa fundi ku install apps au ku rest simu. Kijana hamjui Maduro wala hajui kinachoendelea Iran. Kwa kifupi...
  8. T

    Ishu za mahusiano me nimeachana nazo rasmi, ntasubiri muda ufike nioe

    Baada ya kupambana kwa muda mrefu angalau nichakate mbususu Nikapata kidem cha mwaka wa kwanza, fikisha gheto ile kuanza harakati kanadai kanataka kurudi hostel, nimem boltia ameondoka, sitamtafuta tena. Niliwekeza pesa na muda kumfikisha hii hatua but nafikia hitimisho moja tu "mambo yote ni...
  9. T

    Niliingia chuo na matarajio ya kuwa na mahusiano angalau namimi lakini hadi sasa mambo yamekuwa tofauti, nifanyaje?

    Ndugu zangu wana JamiiForums, Mimi ni kijana wa miaka 23 , nimemaliza mwaka wa pili sasa chuoni, ninasikitika kuwa sijawahi kuwa kwenye mahusiano wala kujamiiana. Safari yangu ya masomo ilinikeep busy huku nikiaminishwa nikifika chuo nitapata "mtoto mkali " Kinachoniuma sio kuwa single tu...
  10. T

    Mlio kwenye mahusiano mliingiaje?

    Ndugu zangu wana JamiiForums, naombeni muongozo wenu. Nitumie njia gani maana naona kwenye hatua za awali tu kumu approach anakuomba hela, sasa kwangu hii huni disappoint sana na hii si mara ya kwanza. Naombeni ushauri wenu, umri 23. Kwa mfano huyu sina mpango wa kumtafuta tena wakati namba...
  11. T

    Naombeni Ushauri kuna mtu amenitishia

    Ungekuwa wewe ungefanyaje mkuu, maana nikianza ugomvi nitatoka kwenye focus namimi nahitaji suluhu ya kudumu.
Back
Top Bottom