Kitu kibaya shabiki wa wcb anaogopa kusikiliza mziki kwa sababu ya chuki anaogopa ataongeza viewers kisa wivuuu .....yani ngoma mbaya na inaenda kuwa trending sahiviii
Daaaaaa ni wanaume wanaocomment humu kupinga juhudi za mwanaume mwenzao au kuna udada mwingi jf aseeee ....just imagine mwanaume kuna vitu unacomment yani mpka ukiwaza ni mtoto au nanii ....Acha wivu usiokuwa na maana na huna kitu ,,MTU wa data za buku au mitano unakuwa na wivu wewee utafanikiwa...
Yanii mwanaume unaandikaa andikaa vitu kama ambaruty hafu chukiii kama mdada asee ...hafu mbna unapoteza sifa za kigentle mzee utapelekwa Mombasa mende wengi
Hivi na weweee kweli unataka nchi iwe na vichwa vya kiropokajii kwa misingi ya kujenga taifa ....Too bad unakazia ety watz waoga muoga mwenyewe sisi tunaijoy maisha ..Ukitaka stochastic equilibration huwez ipata duniani kotee ni kwa Mungu
Daaaaah muda ufike ambaoo vijana tutaacha kulalama vitu vya watu kila siku Mondi, Kiba, Harmonize. Haya mfano wewe unamkoa Harmo lakini ndo anazidii kutua hivoo. Maisha yanaenda kasii. Tutafute kazii mzee muda wa kuanzisha Uzi huku tutatumia usiku tuone nyuz ngapi zimewakilishwaa. Over!
Trending sio tatizoo hiii nii kutokana na attention ya watu kujuaa mond atataoaa wimboo gani sahiv na lazmaa watu wakaangalieee ,,sasaa hatuwezii kutoa maoni pasipo kusikilizaaa.....
Kwa wanaoelewa Sana'a vizur watakuambia tuu hakuna lolote palee wimbo utabebwa na videooo
Tatizooo masikiini wengii wa akili humu ndoo wanaooona jamaa hana jipyaa lakn he stil make his own money na kunaa yukoo kwa kaka ake anasemaa hana lolotee
J.F INA wajinga wengii sahiv kulikoo social medial yoyotee ilee mada za celerity za kijingaa kila siku mondi kiba harmonize .vijana embuu elimikenii achen ushabiki wa ajabuu ...
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Ndiooo vijana waliobakia tz ..sikiliza muziki maisha yaendeleee.get rich get die huo ndo uanaume ...sasaa ww dume zima unakufa kifo cha mende kwa mtu.acha ushabiki ambao haukutambulishiii popote .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.