Recent content by The africanus

  1. T

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    wivu na chuki vinakusumbua.Hadi uje ufike hiyo level ya huyo mama unayoidharau utakua umejamba sana kokoto.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Sema chadema ndio mnapapatika na huyo polepole wenu.Kwahiyo kwenu mtu akiwafanyia ujinga alafu akaja kuwazuga kwa msamaha wa uongo na kweli nakuwasema ccm tayari kwenu ni shujaa.Kwa hali hiyo mtashikiwa sana akili.Chama hakipasuki hivyo kwasababu polepole sio kigogo ccm useme anawafuasi wakubwa...
  3. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Haki gani unatafuta duniani?.Haki hadi ukifa duniani ni mchakamchaka wa mapambano ya mwenye nacho kumkamua asiyenacho.Pambana uwe kwenye kundi la walionacho uondokane na hiyo ndoto yakutafuta haki duniani kitu ambacho hakipo na hakitakuwepo hadi kiama.
  4. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Sisi ni kizazi cha kulalamika na kuonea wivu waliofanikiwa.Ndo maana kazi yetu kubwa nikuilaumu serikali nakupiga umbea mitandaoni.Naungana na diamond kwasababu kwenye dunia maendeleo yanaanza na mtu nwenyewe kuanza kujishughulisha.
  5. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa kuwa wamiliki wa CCM na Tanzania wakishateua hakuna wa kupinga; Kuna haja gani kufanya kampeni?

    Inaonekana hata dhumuni la kampeni hulijui.Kampeni nikwaajili ya kunadi sera au ilani.Kwahiyo hata mgombea angekua peke yake bado angepita kwa wananchi kueleza atafanya nini kwa kipindi chake akiwa kiongozi.Jua kwamba hao viongozi wana wafuasi je wafuasi wao watapata wapi wasaa wakusikiliza...
  6. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi CCM mnakwenda kushindana na nani?

    Hao ni misukule.sasa hivi imeshikiwa akili na polepole na gwajima.
  7. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi CCM mnakwenda kushindana na nani?

    Acha kuweweseka kwakujifanya hamnazo.Uchaguzi sio kwaajili ya kushindana kwasababu sisi wote ni wale wale.Bali uchaguzi nikwaajili yakuonyesha utofauti kati ya huyu na yule ili kukidhi kanuni ya demokrasia ya wengi wape.Sasa kama mgombea unayemtaka kakimbia hiyo ni shida yako cha msingi ni nchi...
  8. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    Unateseka ukiwa wapi?.Utapiga sana domo mwaka huu.
  9. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hata CCM yenyewe imejichoka

    Hizi ndio hoja chadomo mlizobakisha.
  10. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Huu ni uongo na ni tusi kwa Watanzania wote walio na akili timamu na wanaojielewa!

    Hizo ni ahadi za samia kwa busara zake ila bado hamridhiki.Mnatakaje sasa?.Unatakiwa ujue hakuna anayeweza kumlazimisha bali anapokea ushauri.Sasa kaona uko nyuma kuna mambo hayakukaa sawa bado mnaleta vikwazo vyakutuambia historia ambayo haiwezi kubadilika.Tunatakiwa tuanzia hapa kwenda mbela...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Onyo: CHADEMA Haitaridhiana na yeyote katika hawa Waliopo sasa, Never Ever!

    Uko ni kujifariji.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Ni uchoko pia kutaka matatizo yako yawe niyakila mtu.Mchuma janga hula na wakwao.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli tu: Yeyote atakayepiga kura Oktoba atakuwa na Mtindio wa Ubongo

    Hawa wapuuzi wanataka kuleta siasa kwenye maisha ya watu.
Back
Top Bottom