Recent content by thanxlord

  1. T

    Upepo mkubwa watikisa Jiji la Dar usiku, umeme wakatika!

    Kigamboni kulikuwa n mingurumo ya radi mikubwa n upepo sasa hivi umeme hakuna ila mvua bado inanyesha
  2. T

    WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

    Dada weee acha whatsup ni kilio cha wenfi ndoa zinayumba na kuchakaa kwa kutukanana n wake wenza ila siyo issue Kula kuliana tafuta kiholder chako tulia chat mpaka uzimie kukimbia mji wako kisa whatup siyo mpango mwanamke kujiamini watatumiana mapicha mpaka wanyegeke ila mwenye nyumba ni wewe...
  3. T

    Asante Mama Gaudensia Kabaka, Erolink walinigombanisha na Mpenzi wangu

    Daaaah erolink jaman aaaaaaaa umetuumiza wengi
  4. T

    Kinachoendelea interview ya pccb ndani ya sabasaba.

    Jaman Kwan majina yametoka ya interview????nijibu now niangalie n me nikimbie hapo.
  5. T

    Mume wa Maana Usipokuwa naye tu, Ukimpata...!!!

    Lara 1 duh its so sad kwa hii kitu kwakwel ladies jaman hatuna huruma ila kwel kuna mapaka mwitu mbwa koko mtu unamganda mume wa mtu n watoto wameshazaa kama kidonda yaan habari inakuwa kutwa kwa mganga ili umuangushe mwenzio mungu huyuuuuuuu n bado atatembea uchi nachozi n uzuni ya Yule babes...
  6. T

    Taarifa: Madanguro haya ni hatari kwa afya yako

    Samahani kwani kigamboni ni maeneo gani watu wanajiuza??????n hao wakenya WaPo kigamboni pia?????mtoa nada nijibu plz!!!
  7. T

    Aliekua mpenzi wangu zamani anakaribia kufunga ndoa na kaka yangu. Msaada please.

    Bora unyamaze wew wakati wako ulipita Kwan ulipanga kumuoa?c ulishakula mzigo ukapita sasa acha waliomuona kuwa anafaa wamuoe Kula kimya hehehehe kale ka msemo usichezee demu maana hujui wako atakuwajee ndo akoo
Back
Top Bottom