Recent content by ThanksGod

  1. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta vioo(glass) vya ujenz kwa bei ya jumla

    Kampuni yetu inataka muuzaji anayeuza VIOO kwa bei ya jumla na tutafurahi kama tutapata maelekezo madogo kutoka kwake, tuko tayar kufanya kazi na huyo mtu,
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Computer yangu ina scratch kama sijaweka kwenye umeme,

    Habar za Muda wadau, nina computer yangu HP Pavilion, mwanzoni ilikuwa iko poa sana, Lakini sasa sielewi kabisa, Nikiweka kwenye chaji basi inafanya kazi safi tu, Ila umeme ukakatika au nikitoa chaji basi inaaanza kuscratch na huwezi tena kuitumia, betri iko poa na inapiga mpaka saa...
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi ni Vipofu wanaotembea ndio maana hawaishi kupata madonda ya Moyo

    Wanaume waminifu tupo, sema kwa mwanamke inabidi au niseme amezoea kuumia na usipomuumiza basi atakuona we fala au mme bwege, yaani anakuona sijui ukoje yaani kama haubadiliki, Mwanaume anaweza akampenda mpenz wake, hacheat wala simu yake haina complications zozote, ni mwanaume anakuwa...
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kuangalia on-line TV channels kwenye PC

    Kwangu linakuja file, kwa hiyo unafanyaje na Hilo file
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kuangalia on-line TV channels kwenye PC

    mbona inakuja file mbona kwangu linakuja file , sasa unafanyaje na file
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya mapenzi

    Habar zenu ndugu, nimeamua kuja na mada hii kama kichwa cha habari kilivyoandikwa. Dunia hii Kuna kupenda na kupendwa, kumpata na kupatikanka, kuwekeza na kuwekezwa na kuchumbia na kuchumbiwa. Inasemekana sana binadamu walio wengi ni vigumu sana kuacha mapenzi au mpenzi wa awali..... Hii...
Back
Top Bottom