Moja kati ya michapio ambayo nimewahi kuisikia kutoka sehemu Mbalimbali huu ni Kiboko yao....
...Kuna jamaa angu mmoja alikuwa na njaa sana asa ikabidi tuende kununua Kibanda cha chipsi,Me nikaagiza asaa yeye kutokana na haraka zake akatoa bonge la Mchapio etiih NIFUNGIE CHIPSI KAKI NA MISHKAVU...
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
Braza kwa hayo maswahibu yaliyokukuta ni sawa na ulikuwa unacheza BIKO tuu...Ushaur wangu hzo hela bora ungepanga geto ungekuwa unawaweka vizuri:):):):)
Hizo mambo zilikuwa zinajadiliwa miaka ya 2000/05....sahiv hakunaga mambo hizo,sikuhiz dada zetu hawawasahau wanaume waliokuwa sio wavivu kufungua pochi pekeeee....:):):):)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.