Hata si wa hivyo kaka.. ndugu au marafiki ukiwaambia habari za kukopa haiwezekani..ni kheri niombe kwa wenye ofice za kukopesha au mtu binafsi niangalie terms zao kama nitakidhi vigezo niwezeshwe maana ni ishu imekuja ghafla tuu
Habari
Nina shida sana ya haraka kukopeshwa laki tatu tu kwa mtu atakaeguswa na shida yangu..
Au kama kuna yeyote atakaeweza niunganisha na mtu/watu wanaokopesha kwa riba ndogo sana nitafurahi zaidi, kwani naweza dharirika mwenzenu.
Kwa sasa nipo mbeya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.