Recent content by Thaconfession

  1. T

    Orodha ya mikoa yenye wanawake washamba

    Haya maajabu, yaani Kigoma ni wajanja kuliko Mbeya?
  2. T

    Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

    Akili yako imewaza pafupi kuliko kawaida, kwa watu wanaoelewa vema juu ya taasisi inaitwa familia, wanaithamini kuliko hata milioni 100! Wewe unaweza kuuza familia yako kwa vipande vya fedha? Huyo mwanamke ni shujaa kweli kweli, anastahili pongezi?
  3. T

    Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

    Logo linaandaliwa hapo, jiandae kuanza kuwa zezeta sio siku nyingi...
  4. T

    Walimu naomba mjirekebishe na hili la kuomba tip

    Ungewaambia trafic hii statement ingefaa sana, maana wanapiga mizinga haooooo!!! Na bado mnatoa kwa furaha na tabasamu juu! Walimu wale rushwa? How wakati wateja wake ni wanafunzi wasiokuwa na vipato kabisaaa!
  5. T

    Majibu ya kisheria: Je, ni kweli mwanaume akiishi na mwanamke kwa kipindi kirefu wanakuwa wameoana?

    Niulize jambo kupitia hili jibu lako tafadhali... Mwaka 2010 nimempa mimba mdada, akaendelea kuishi kwao, ilipofika mwaka 2014 ndugu wakalazimisha kwenda kujitambulisha ukweni (mimi sikwenda) Baada ya hapo, mwaka 2015 mama mtoto akaja kunitembelea (tunaishi mikoa tofauti), alipokuja tukafanya...
  6. T

    Kama unaamini kabila linahusika kwenye maisha, basi tafuta mwanamke wa Kikinga

    Ndugu yangu alioa mbena kwa nadharia za kusikia, sasa analia na kusaga meno... Mwanamke jeuri,kiburi na vere tempered! Ila ukikutana naye for the first time, ni mpoleee mkimyaaa, na mwenye sauti ya chiniiii, ila moto wake sasaaaaa, weeeeee!
  7. T

    Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

    Kuna watu wana shahawa za hatariii, kila akigusa tu hata safe days zinaleta watoto! Mwanamke hana tatizo, mwanaume hana tatizo, anakosaje kunasa?
  8. T

    Wazo la leo: Mwanamke akijua kipato chako halisi umekwisha!

    Hakujui huyuuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. T

    Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

    Usisahau pia kuwaambia, wake wa kiislamu, waume zao wakioa 4, na wao waolewe na wanaume 4, jino kwa jino, alaaaa!
  10. T

    Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

    Wanazo pesa zao, lakini wengi wamefeli sana kufanya unachowashauri, na waliothubutu kufanya wanatamani kurudisha siku nyuma wabadili maamuzi yao! Mfano mzuri, nina shemeji yangu anafanya kazi nzuri tu,(shirika la kimataifa), miaka kadhaa nyuma bro ali-cheat na demu wake wa zamani huko, akapata...
  11. T

    Wanaume tujitahidi kuwatunza watoto wetu hata kama tumeachana na Mama zao

    L'akini mwanamke akiamua kutozaa n'a mwanaume, hata mwanaume aifanye nini hawezi kumzalisha... N'a mwanamke akiamua kuzaa n'a mwanaume fulani, ataruka ruka weee lakini mwisho wa siku atadakwa vizuri na kuambiwa "sijaziona siku zangu"
  12. T

    Kitu gani kinakufanya ukatae ndoa

    Kuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo, 1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka) 2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula...
Back
Top Bottom