Ase mkuu mm natokea hayo maeneo najua Nini kinaendelea
Nilikuuliza Hao watu wamekaa muda gani huko na wameleta uharibifu Gani?
Jambo lingine kinachowasumbua Nini mpaka mnagusa maisha ya wale watu Ni Nini hasa hasa
Bro tumia akili mnawahamisha Hao watu mnawapeleka wapi hio Jamii ni ya tofauti na Jamii zingine
Hauwezi ukaniambia unampeleka mmasai mwenye wake wa Tano na watoto 15 kwenye kijumba Cha room mbili na sebule ni udhalilishaji dhidi ya Hao watu ni mateso hamjawalipa pesa zao
Lakini pia Hawa jamaa...
Soka linabadilika sio "Mungu" Tanzania ulikuwa mbovu wakati huo ila Sasa mambo yamebadilika ndani ya miaka 6 tumefuzu mara mbili
Jifunze kuongelea wakati huo uliopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.