Recent content by Thaari

  1. Thaari

    Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

    Yaani ww Ndio mropokaji kabisa
  2. Thaari

    Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

    Ase mkuu mm natokea hayo maeneo najua Nini kinaendelea Nilikuuliza Hao watu wamekaa muda gani huko na wameleta uharibifu Gani? Jambo lingine kinachowasumbua Nini mpaka mnagusa maisha ya wale watu Ni Nini hasa hasa
  3. Thaari

    Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

    Huyu mjinga mnayemwita raisi hivi hapa alikuwa anataka ****'nisha nini
  4. Thaari

    Ngorongoro huenda kuna "crime against humanity" ya kutisha

    Bro tumia akili mnawahamisha Hao watu mnawapeleka wapi hio Jamii ni ya tofauti na Jamii zingine Hauwezi ukaniambia unampeleka mmasai mwenye wake wa Tano na watoto 15 kwenye kijumba Cha room mbili na sebule ni udhalilishaji dhidi ya Hao watu ni mateso hamjawalipa pesa zao Lakini pia Hawa jamaa...
  5. Thaari

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Toka Jana nimdeposit 25k Hadi Leo siioni
  6. Thaari

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nini kimewapata gal spot Toka jana
  7. Thaari

    Taifa Stars mmejua kutudhalilisha sisi Wachambuzi

    Taratibu naamini kwann watu wanakuita popoma
  8. Thaari

    Uganda ingefuzu AFCON 2024 ingeiwakilisha vyema EAC kuliko Tanzania inayoenda Kutia Aibu tu huko

    Soka linabadilika sio "Mungu" Tanzania ulikuwa mbovu wakati huo ila Sasa mambo yamebadilika ndani ya miaka 6 tumefuzu mara mbili Jifunze kuongelea wakati huo uliopo
  9. Thaari

    Taifa Stars mmejua kutudhalilisha sisi Wachambuzi

    GENTAMYCINE MINOCYCLINE SAYVILLE Ww na Hawa wenzako alafu haya majina mbona yanalandana mno
  10. Thaari

    Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

    Mliwahi kuziweka nchi kama Hispania, Portuguese etc chini ya utawala wenu au haukumbuki
  11. Thaari

    Beatrice Mwaipaja

    Waimbaji wengi wa kibongo siwalewi Huwa wanaimba nn yaani nyimbo ziko wrong theological
Back
Top Bottom