Wakuu nawataarifu msinunue mabandle kwenye halotz...wanaiba hela kwa nguvu
1. Nilikuwa na dkk zaidi ya 600 za mwezi zilitakiwa ziishe 20 July lakini zimeipotea yaan ukiangalia salio ni zero na sijazitumia
2. Nilinunua GB 1 jana usiku nikaingia fb dkk moja nikalala asubuh nikakuta no data...
Wakuu naomba kama unafanyaga kazi za fumigation unicheki
Kazi: kupulizia ama kupaka dawa mbao za kenchi ya nyumba
Mahala: Morogoro mjini
Bei : tutazungumza ukishanicheki
mkuu mshahara wa receptionist huwa haizidi laki 2 kwa miaka miwili ukitoa matumizi kula kulipa kodi sema amebaki na elf 80 kwa mwaka kwa miaka miwili ni kama m3.6 hapo amejibana sana kiufupi huyo manzi ametumika sana na ameamuamua kuachna na ya dunia ila anakili sana nakushauri umuoee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.