antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 50,956
- 133,091
Hahaha,Note that sifanyi Starehe kwamba sina akiba ipo Tena in large amount! 700M+
Kuna watu wataliwa humu muda si mrefu
Hahaha,Note that sifanyi Starehe kwamba sina akiba ipo Tena in large amount! 700M+
Unaweza kukojoa dagaa akiwa ametanguliza mkia?Ha ha aisee jaman mtupe michongo mnayoifanya sio kututambia,maskini tunaumiaaaa😁😁😁😏😏
NakaziaHahaha,
Kuna watu wataliwa muda si mrefu
wewe jamaa utakuja kuolewaNashangaa hasira za nini je mkijua meneja wangu anabeba 13,000$ kwa mwezi si ndo mtazimia? Kabla ya kunibisha angalia uhalisia
Hiyo 4500$ ni pesa nje ya bonus na mengine! Per month nakunja not less than 18,000$ kulingana na nature ya kazi mshahara si mkubwa ila bonuses ndo nyingi sana , wajuba wa abroad wananipata
Mi kuhonga 2000$ ni simple kama wanataka prove by September ntawapa Pesa wanaobisha wote! Kwanini si sasa Nina majukumu na ahadi nshaweka sehemu
Note that sifanyi Starehe kwamba sina akiba ipo Tena in large amount! 700M+
Kataa kubali ni wewe
Aiseee..wewe jamaa utakuja kuolewa
Au sio 😂Usiweke wingi.. sema umekosa wewe
Basi unakwenda vizuri kila la heri kwako tycoonWao ndo wananitegemea Mimi circle nzima yetu
Nimewekeza katika Ardhi na mashamba! Pili nimenunua hisa kampuni moja (Taasisi ya Kifedha) hapo bongo zenye thamani isiyopungua 250,000$
Kwa Venchwa ni jambo dogo sanaaa kugawa dollar sema dollar sio helaaa , huyo tajiri anatumia dollar sio hela 😂😂Kugawa hela mchezo 😹😹
😁😁😁 kuna watu wameumbiwa hurumaaa huenda nae ana huruma, na Venchwaa anavyosifia utamu alio ukulaaa inaonakenaaa sia haba.. Huyu anakula wabunge ambao ni member jfWeeeh..!! 😹😹
Kwamba umepewa bure toa bure..!! 😹
😁😁 na kuna watu wamepangikaaa na itakuwa wabunge wa Jf wana mlilia tu huko konaaaa .. hadi wanatambaaaNgosha anatupanga sana 😹
🤣🤣...hii clip imebeba ujumbe mzito,,!
Matako wee. Niamini huwezi kudumu kwenye hiyo hali. Kuanzia kiroho mpaka uhalisia. Kiroho Hakuna anaejusifia hadharani utajiri MUNGU anaona unawadhihaki wasiokuwa na hicho niamini utapotezwa mpaka utashangaa. Kikawaida Hakuna tajiri anajisifia kiboya hivyo.Nashangaa hasira za nini je mkijua meneja wangu anabeba 13,000$ kwa mwezi si ndo mtazimia? Kabla ya kunibisha angalia uhalisia
Hiyo 4500$ ni pesa nje ya bonus na mengine! Per month nakunja not less than 18,000$ kulingana na nature ya kazi mshahara si mkubwa ila bonuses ndo nyingi sana , wajuba wa abroad wananipata
Mi kuhonga 2000$ ni simple kama wanataka prove by September ntawapa Pesa wanaobisha wote! Kwanini si sasa Nina majukumu na ahadi nshaweka sehemu
Note that sifanyi Starehe kwamba sina akiba ipo Tena in large amount! 700M+
Kataa kubali ni wewe
Ni wao na Mimi ni MimiMatako wee. Niamini huwezi kudumu kwenye hiyo hali. Kuanzia kiroho mpaka uhalisia. Kiroho Hakuna anaejusifia hadharani utajiri MUNGU anaona unawadhihaki wasiokuwa na hicho niamini utapotezwa mpaka utashangaa. Kikawaida Hakuna tajiri anajisifia kiboya hivyo.
Ukitaka kujua kuna watu wana hela Na hela tena. Unajua budget yote ya Tz ya miaka 10 anammiliki mtu mmoja lakini hujiulizi kwa nini huyo birionear hawezi kusapot sehemu tu ya utajiri wake kwa kujenga barabara nzima hata dar to moro kwa uchache ilhali hiyo barabara ni punje ya utajiri wake? Jibu ni dogo tu binadamu hawadhaminiki
Tajeer mbona umepowa😂Ni wao na Mimi ni Mimi
😹😹😹 Azimwage sasa waungwana tuokote..!!Kwa Venchwa ni jambo dogo sanaaa kugawa dollar sema dollar sio helaaa , huyo tajiri anatumia dollar sio hela 😂😂
Aahh wapi Venchwa katupanga 😹😹😁😁😁 kuna watu wameumbiwa hurumaaa huenda nae ana huruma, na Venchwaa anavyosifia utamu alio ukulaaa inaonakenaaa sia haba.. Huyu anakula wabunge ambao ni member jf
😅😅😅 hivi ndio kasema ana kama 700 millions eeeh ipo inazagaaa zagaaaa tuu😹😹😹 Azimwage sasa waungwana tuokote..!!