Michango kwe huu uzi imenisikitisha sana, sikuwahi kufahamu watanzania tunakosa sense of justice kwa kiwango hiki. Kwa minajili hii hakuwezi kuwa na shinikizo kwa watawala kutenda haki maana watawaliwa hawajui/hawaijali haki. Huu ni msumeno na unakata ukienda mbele na ukirudi nyuma vile vile...
Nimefurahi kuona kuna vijana wana mawazo kama haya. For sometime nimekuwa najiuliza kama tuna watu wana mawazo sahihi juu ya the right path ya maendeleo ya nchi na bara letu, it is encouraging kuona bado mpo. Hatuwezi kwenda mahali kama nchi au bara bila kuwa na mkakati wa ku industrialize na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.