Jamani mimi nataka kuagiza gari uk,na jamaa wamenitumia proforma invoice, niwalipe,sasa nakwazika na usalama wa hela yangu isije ikawa kilio cha mwaka,
wanavyoeleza benki za ulaya kwa hela zote zinzoingia lazima udhibitishe unatumia kwa shughuli gani, kwa maana ya kuwapelekea document.