kama ambavyo kunatakiwa uwe na weledi katika kuitazamia nchi kama inafuata misingi ya demokrasia, ni vema pia haya masuala ya udini, ukabila, jinsia idadi ya wanawake na wanaume katika uongozi yazingatiwe kwa mapana yake.
Kiwanja Kinauzwa!
Mahali: Kibaha kwa Mathiasi.
Bei: Milioni 60 (kunamaelewano).
Maelezo: Kipo karibu kabisa na barabara ya kuu ya morogoro - upande wa stendi ya daladala kuelekea Ubungo (mjini), 35 by 20, kizuri kwa ajili ya eneo la biasahara/makazi.
Hata kama kuna maeneo kijana huyu alikengeuka, nadhani nguvu ya chama ionekane pia. mtu akiwa mwanachama wa sehemu fulani anastahili kuona au kufaidi uanachama huo mfano ni matukio kama hiki kinachoendelea kwake.. Msaidieni mwanachama wenu aone ile kadi aliyonayo kwenye droo kule chumbani ina maana
Hii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.