Soma biblia acha utani.Wanadamu sote tumeumbwa.soma kitabu Cha mwanzo kinachofuata ni kuzaliana ambako pia hutegemea power of God.
pia siyo Kila mtu akifa anaenda mbinguni.
Waebrania 9:27Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
NB Mbinguni pana credentials zake...
Uzi unasema personally.customer service hawatengenezi akaunti,hawakusaidii kuapply,hawakusaidii kujaza taarifa zako ajira portal nk lazima tusaidiane wenyewe since they deal with critical issues..
Mada za ivi ni za watu walioshindwa ndoa, au ndoa zao Zina matatizo ambayo wanadhani suluhisho lake ni staili za kishetani za kuzini(Wala siyo tendo landoa
Pia mada hii inawahusu wazinzi (wasiotosheka na wake zao au waume zao) ambao mara nyingi wanahonga na kutafuta jinsi ya kupambania hongo...
Suluhisho lako la kuzaa na mke yeyote ni la kipumbavu) .Tatizo la kuopata mtoto wa kiume haitakiwi kukufanya ujifananishe na jogoo,au beberu,nk ambao huzaa ovyo (because they aren't human)
Wanaokupa mipangilio ya kisayansi na ya wanyama inayohusu staili za kulala na mwanamke(staili za wanyama...
IKIWA unaruhusu maoni yetu au msaada wetu (tusio wa mamlaka hiyo)
Naomba uweke screenshot ya maelezo unayopewa kuhusu kufungwa kwa akaunti Yako.Pili,tuwasiliane kwa 0623446608 nikupe msaada wa kimawazo na kitaalamu (binafsi) I hope utasaidika.Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.