hicho mnachojadili ni upuuz mtupu kwa hao wanajifanya walioenda diploma wamekosa sifa za kuingia degree? mimi nilipata two nikaenda diploma na masela kibao wameenda university wana dvn three tena ya 14 hapo nani yupo juu?kuna watu hawaendi university kama sifa ila tatizo ni pesa na maisha ambayo...
Jamani anayetaka kubadilishana kituo cha kazi idara ya msingi mimi nipo masasi nataka kwenda songea au mbinga.mawasiliano namba 0687843542,mwl mkondya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.