Recent content by Tempest

  1. Tempest

    Kuongezeka kwa Joto Nchini

    Wapi huko ulipo, maana naona 29 hiyo ni kawaida nikajua 35
  2. Tempest

    Kampuni za usafir za kubeba wafanyakazi (Corporate transport services)

    Habari Kwa anayejua haya makampuni msaada wa kushare contacts, Mfano kuchukua wafanyakazi kila siku kuwarudisha majumbani na muda mwengine kuwaleta kazini, coaster au aina nyingine ya magari yote ni sawa
  3. Tempest

    Kwa mliooa mademu zetu asee jitahidini kuwakaza vizuri wake zenu! Wanawake wenu wanatukumbuka huku

    Matukio ya vijana wa kiume kupigwa pipe yamekuwa mengi, jikaze ndugu chat tu lakini usitende
  4. Tempest

    Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

    Tunarudi pale pale, lakini imani ndio kila kitu
  5. Tempest

    Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

    Ukiamini hata ukitumia lako linaweza kufanya, mfano maji ya baraka wengi wanatumiaga maji ya kawaida tu lakini yanaombewa na wanakuwa na imani yatafanya kazi
  6. Tempest

    Kinyozi, mchomeleaji, bodaboda, mama ntilie,n.k. hulaza wastan elfu 10 kwa siku, mhitimu unaeogopa kuchekwa endelea kukaa nyumbani

    Kwenye suala la connection hapo kweli, zimerudi kwa kasi kubwa sana na kufanya ajira kuwa ngumu x20
  7. Tempest

    Presha kwa Mjamzito na sababu yake huwa ni nini

    Uwezekano huo upo mkubwa lakini sometimes uki base sana huku unapoteza zaidi
  8. Tempest

    Presha kwa Mjamzito na sababu yake huwa ni nini

    Habari Kuna jirani yetu mtaani hii mara ya 3 kila ikifika wiki 1 kabla ya kujifungua anapata presha kubwa kiasi cha kwamba inabidi mtoto atolewe kwa upasuaji na mara zote mtoto ana survive siku 1 tu kisha anafariki Mwaka huu walienda hospital kubwa kidogo kufanyiwa monitoring lakini issue...
  9. Tempest

    Recover The Lost Memory: Kabla ya Kuishi hapa Duniani ulikuwa hai

    Hakuna anayejua , ukifikiria sana unaweza kupagawa bure
  10. Tempest

    Recover The Lost Memory: Kabla ya Kuishi hapa Duniani ulikuwa hai

    Kwenye Lucid dreams hapo wadadisi kama sisi na wewe wanaishiaga kwenye drugs ni pakuwa napo makini maana wanasema kuna baadhi ya drugs zinakuweka kwenye hyo state na wasaka maarifa watajaribu kuona na huweza ukawa addicted na mambo mengine kufuata
  11. Tempest

    KERO Nimeibiwa kamera Tabata, sikupata msaada stahiki Kituo cha Polisi Stakishari. Mwizi anajulikana maeneo yale, amefanya tukio jingine na bado anapeta tu

    Walioshauri vibuyu wezi wengi wapo fiti sikuhizi wanatumia vibuyu vya bei mbaya kuhakikisha kazi zao zinaenda na utahitaji kibuyu premium kumfikia:D maana yake ukienda upande huo utaishia kupigwa tu pesa na wataalmu wa kweli wanahesabika wengi ni kama jamaa huyo Ndio maana sikuhizi vijana wengi...
  12. Tempest

    Recover The Lost Memory: Kabla ya Kuishi hapa Duniani ulikuwa hai

    Nature ya uwepo wetu ipo complicated sana , mengi yatabaki kuwa mystery ni kama tupo kwenye testing enviroment hivi na mtu anatuangalia tu tunavyohangaika Kuna mengi sana hata sayansi inashindwa kuyaelezea na pia hakuna kinachoanza from nothing also hakuna anayeweza kuelezea nini kilikuwepo...
  13. Tempest

    Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

    Miyayushi tu hapo , naona serikali inalifanya jambo kwa uwoga kwa siri wakati ni issue straight tu, ndio shida ya jamii zetu hizi tuna laana ya milele
  14. Tempest

    Kuna dawa ya kuacha Pombe?

    Hakuna , ila ukiamua unaweza , ndugu yangu alijaribu akashindwa mwisho wa siku akaanza kusema amelogwa awe anasikia harufu ya pombe muda wote . lakini ni wewe mwenyewe tu tafuta hobby nyingine au anza gym
Back
Top Bottom