Tumia muda wako kufanya kazi na siyo kuhangaika na mapenzi.
Unakutana na pisi kali unaomba namba unaanza kuwa busy nae we unadhani ameonekana na wangapi kabla yako na ni wangapi wanaomtaka . Punguza kupenda sana watu wana watu wao, unayempenda sana naye ana mtu wake anayempenda sana.
Cheza...
Lengo kuu la ndoa ni kuwa na familia ila kama unaweza kupata watoto bila kuoa basi ndoa haina maana.
Now nina watoto wawili na sijaoa, nioe ya nini? Lengo la ndoa ni watoto na ninao why nijipe stress za bure wakati maisha yenyewe ndo haya na kila siku watu humu wanalialia kwa wanayopitia...
Demu wangu aliwahi kuchoma sindano ya miaka miwili aisee nilisota maana kwa mwezi naweza nikawa nyapu mara tatu au ukapita hola kabisa , hatukufika mbali tulibwagana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.