Recent content by temoin

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitumie muda wako sana kwenye mapenzi, watu wana watu wao

    Tumia muda wako kufanya kazi na siyo kuhangaika na mapenzi. Unakutana na pisi kali unaomba namba unaanza kuwa busy nae we unadhani ameonekana na wangapi kabla yako na ni wangapi wanaomtaka . Punguza kupenda sana watu wana watu wao, unayempenda sana naye ana mtu wake anayempenda sana. Cheza...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili

    Bila k dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi maana hata uwe mwamba kiasi gani mbele ya k utakaa tu upende usipende
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Ni wangu mkuu
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Sidhani mkuu maana naishi nao siyo kwamba wako na mama zao
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Familia bila watoto inakamilikaje mkuu
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Hii taasisi imekuwa ngumu kaka acha tu nipambanie nilicho nacho
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijaoa nina watoto wawili, ndoa ya nini?

    Lengo kuu la ndoa ni kuwa na familia ila kama unaweza kupata watoto bila kuoa basi ndoa haina maana. Now nina watoto wawili na sijaoa, nioe ya nini? Lengo la ndoa ni watoto na ninao why nijipe stress za bure wakati maisha yenyewe ndo haya na kila siku watu humu wanalialia kwa wanayopitia...
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumtokea demu halafu ukaogopa kumwambia shida yako

    Kwa ishara wanaona sema tu wanajifanya hawaelewi
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumtokea demu halafu ukaogopa kumwambia shida yako

    Wala hata sijajiandikisha boss
  10. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumtokea demu halafu ukaogopa kumwambia shida yako

    Wahivyo wapo mkuu kuna mmoja aliwahi kunipa namba kwenye kuchati akawa ananiita my na nilikuwa hata sijamtongoza
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumtokea demu halafu ukaogopa kumwambia shida yako

    Kwa mbinde kaka
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawahi kumtokea demu halafu ukaogopa kumwambia shida yako

    Hatukuwa na simu mkuu
  13. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia za uzazi wa mpango

    Demu wangu aliwahi kuchoma sindano ya miaka miwili aisee nilisota maana kwa mwezi naweza nikawa nyapu mara tatu au ukapita hola kabisa , hatukufika mbali tulibwagana
  14. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia za uzazi wa mpango

    Je suis l'homme
  15. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia za uzazi wa mpango

    Mi si dada ndugu yangu
Back
Top Bottom