Easy na rreendo mana tulipewa akili na utashi bruh we ushajitafakar umegundua kabis outcome juu ya hilo swala sasa if it has to be it's up to you think.
Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo ni uongo tu tofauti yake kwenye situation kama hixi ni kwamba
Mtu akishasema ukweli na wakakaa wakaeleana ikaisha it's done lakin ukishadanganya na mkaelewana mambo yakakaa sawa lakin unakuwa hujamaliza tatizo maana mwisho wa siku ikweli lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.