Recent content by Temetrius J12A

  1. T

    Kwa huyu shemeji yangu nitatoka kweli?

    Easy na rreendo mana tulipewa akili na utashi bruh we ushajitafakar umegundua kabis outcome juu ya hilo swala sasa if it has to be it's up to you think.
  2. T

    Mliokutana mjini nendeni ukweni mkatambulishane

    Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo ni uongo tu tofauti yake kwenye situation kama hixi ni kwamba Mtu akishasema ukweli na wakakaa wakaeleana ikaisha it's done lakin ukishadanganya na mkaelewana mambo yakakaa sawa lakin unakuwa hujamaliza tatizo maana mwisho wa siku ikweli lazima...
  3. T

    Hii kwako unaichukuliaje?

    Sidhani kama kuna mwanaume anamzuuia mkewe kwenda kuonana na wazazi wake labda kama ana yake binafsi
Back
Top Bottom