Aisee nilikuwa bado sijagundua kitu hiki, ndo maana nashangaa Internet kila wakati inakata kumbe napigwa halafu hadi sasa hivi bado hali ni ile ile sasa sijui tangazo la serikali limefikia wapi au ndo mambo ya zamani yanataka kurudi ya kwamba MTU MWENYE PESA ANAWEZA FANYA CHOCHOTE MAANA...
Kuna mtu jamaa yangu alimpa kazi ya kuzibua mitaro ya maji machafu na aliifurahia sana kazi iyo. Siku nilipo mtembelea jamaa yangu nkashangaa kumkuta yule mtu pale akifanya iyo kazi, wakati uyu jamaa nilisha muona sehemu nyingi nyeti nyeti. Kumbe yule jamaa alikuwa kikazi kwelikweli...
Kuna mtu jamaa yangu alimpa kazi ya kuzibua mitaro ya maji machafu na aliifurahia sana kazi iyo. Siku nilipo mtembelea jamaa yangu nkashangaa kumkuta yule mtu pale akifanya iyo kazi, wakati uyu jamaa nilisha muona sehemu nyingi nyeti nyeti. Kumbe yule jamaa alikuwa kikazi kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.