brother na wewe conment yako inamapungufu hujamuelewa jamaa alichokizungumza amesema kwamba yeye ni padri na hii ni siasa kama kweli alitaka kuyazungumzia hayo angeita waandishi akayazungumzia nyumbani kwake na sio kanisani maana kanisani ni mchanganyiko wa watu wa kada mbali mbali na watu hao...
mtazamo wenu huo ila umecopy na kupest huenda hata copy ilionayo ikawa ni ya kimakosa ukaipest hivyohivyo bila kuirekebisha nqa watu wakaichukulia hivyohivyo basi mimi ushauri wangu ni kwamba hii inchi rais awaachie mafisad waendelee kuitafuna na sisi tuzid kuwa mbwa wao tukafungwe wananchi...
kama mlivyosema tulidiskus hili kwa utulivu sasa naanza kwa maoni yangu kama yalivyo nilimsikia rais akiliongelea hilo ila kwangu ni tofauti na nyie kidogo rahisi hakusema mtu asitoke mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kusoma au kutembeleana au kufanya chochote kile kama kibiashara hakulizungumza...
ilo suala lilikuepo na alioanzisha ni hayati mw.julias k. nyerere ila sema halikuwekwa kipaumbele kwa maana viongozi wetu wote wa nyuma hawakuwa series kwa ilo na izo ela mbina simple ujiuliz tangia kiongozi wetu aingie madarakani ni mda gani kwa sasa mbona amefanya maendeleo yaliogharimu ma...
ilo suala kwa sasa liko jikoni magufuli analichambua ila wewe mtoa post unatudanganya kwa kusema kuwa tz inawalipa milioni 400 kwa siku huo ni uongo iyo ishu alishaizungumzia zitto kabwe ukiyaka kujua ni sh ngapi tz hulipa ingia kwenye website ya zito utaikuta hiyo na baada ya MJP kujua hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.