Recent content by Temanyika wa Nyika

  1. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania USHUHUDA: Raha na utamu wa mapenzi viko Tabora, hiyo mikoa mingine mnateseka sana

    Kila mkoa una vizuri vyake ktk mapenzi. Mbeya nao nilichanganyikiwa nikakataa kurudi Dar mapema.Binti alinichanganya acha kabisa Wanyakyusa nao hongereni kwa utaalamu kwa kitanda
  2. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Serikali ipige marufuku uvaaji wa nguo fupi kwenye mabaa na sehemu zingine zinazotoa huduma za chakula na vinywaji

    Nimeikubali hii,ni dhalilisho kwa watoto wetu wa kike
  3. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

    Watoto wa kiume wanabakwa Tangu miaka na miaka,sijasikia jimama lililobaka limepelekwa kwa pilato.Wengine ni marafiki wa mama returned.anajidai Kuna mzigo wa mama yako twende Kwangu ukachukue,ukifika mlango unafungwa linasaula mbele yako linakuanzishia Michele ya mahaba.Kwa hofu itachukua muda...
  4. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Huyu demu kila nikifanya nae mapenzi huwa nachoka sana

    Unapania sana, halafu unatumia nguvu badala ya slow motion ili ukiwatoa waarabu usisikie uchovu. Wewe unaenda kwa maguvu utazeeka kabla ya muda
  5. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Shinikizo la damu ladaiwa kusababisha kifo cha askari aliyefumania

    JAMANI SINDANO ALIKUWA BADO HAJAMCHOMWA, ALIKUWA ANAIPUA MBOGA. KWANI SINDANO SI HIYO ALIYONAYO MWANAUME TANGU ALIPOUMBWA MPAKA ANAKUFA
  6. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kama haya taa ni hivi,je USALAMA wa kukabwa ukoje maeneo hayo
  7. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Ustaarabu uliowashinda wengi

    Amefundishwa huyu mkuu
  8. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Hakuna dawa ni kuamua ktk nafsi,zaidi ya hapo kunywa ulewe hujitambu ktk maeneo ambayo hawakujui halafu anguka kitakachokutokea utaweza kuacha pombe bila kulazimishwa na kiumbe chochote duniani
  9. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Picha ya Siku, Tanga Raha

    Umesahau Kisosora,Kwanjeka,Mwakidila,Mwamboni nk
  10. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

    Tafuta mngese umgegede ukiona vima utachukia hapo itanywea yenyewe bila ubishi
  11. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Breakfast in Bed....

    HAKUNA MWANAUME ASIYEWEZA KUFANYA HIVYO,Tatizo linakuja baada ya kufanya,WENGI WA AKINA DADA NDIO CHANZO CHA SISI KUSHINDWA KUWAFANYIA HIVYO,.HUANZA KUJIONA AMEKUTAWALA.SASA MADUME MENGINE HAYAPENDAGI KUONEKANA WAKO CHINI YA UTAWALA WA WADADA.TIRIRIKENI MNAOPINGA
  12. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

    Sio akijua,anajua mchezo wote,kashituliwa na jamaa yake kuwa mtoto sio wake,ila sijui anapanga nini,maana alionyeshwa siku moja kwenye msiba kuwa aliyezaa na mkeo yule pale,nilivyokuangalia niliona huruma kweli kweli ndugu yangu,kumbe umelileta humu,poleeee weee Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwenye mahusiano pindi waachanapo na wenza wao hawafuti mawasiliano ya moja kwa moja

    Basi hukupenda bali ulitamani kama tulivyo madume Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Temanyika wa Nyika

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Atakuwa na adabu,kuwa sio lazima ufike chuo kikuu ndio maisha yanyooke,kuna waliojaliwa njia za mkato lakini wakatoka na waliosoma maisha yakawagonga Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom