Recent content by Tema Mate

  1. Tema Mate

    Mwigulu Nchemba achomoza urais 2015

    SABABU NNE WANAZOSIMAMIA WANANCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO(2015-2025) NI MWIGULU NCHEMBA. Na,Julius Mathias. Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo...
  2. Tema Mate

    Utafiti waonesha Lowassa awatimulia vumbi Membe na Pinda

    Breaking News: Kutoka Ukumbi wa City Star Hotel, Mwigulu azidi kuongoza katika Mbio za urais 2015 kwa vijana na Lowassa Aongoza kura za jumla. Utafiti uliofanywa na Positive Thinkers Tanzania (PTT) na imedhihirishwa ni kipenzi cha wasomi, , vijana na watu wazima kwani utafiti umeonesha kuwa mh...
  3. Tema Mate

    Chuo Kikuu DSM watoa Ripoti Mbio za Urais 2015 "Mwigulu anaongoza"

    Wakuu nipo Landmark hapa taasisi ya Utafiti "TEDRO"imesoma ripoti yake hii leo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu Mbio za Urais kuelekea Uchaguzi mwaka huu 2015. Katika ripoti hiyo(Full nawaletea)Mwigulu ambaye wengine wanamuita Sokoine wa Pili anaongoza katika Mbio hizo huku Lowassa...
  4. Tema Mate

    Mkasi Show leo na Mwigulu Nchemba

    LEO HII KWENYE MKASI TV SHOW #Repost Mkasitv ・・・ . Hakuna kipindi ambacho kimekuwa na hamasa ya kisiasa kwa vijana wa Kitanzania kama kipindi hiki cha pili cha Uongozi wa Awamu ya 4. Na moja kati ya viongozi vijana wanaotajwa sana ni Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa...
  5. Tema Mate

    Star TV: Mkutano wa hadhara wa Mwigulu Nchemba, leo tarehe 6 Disemba, 2014

    Hii leo Nibu Katibu Mkuu CCM BARA na Naibu waziri wa Fedha ambayea siku karibuni amebatizwa jina la SOKOINE Wa PILI atakuwa na Mkutamo wa hadhara Mkoani geita utakao Rushwa LIVE na Star tv kuanzia saa 8 mchana hii leo. Mwigulu anakwenda kuzungumza na Watanzania kuhusu Mambo makubwa ambayo...
  6. Tema Mate

    hivi ndivyo Mwigulu Nchemba alivyofunika Shinyanga..Asisitiza atafia Wanyonge na Masikini

    Baada ya Mkutano Mkubwa alioufanya jana Musoma Mjini na Kuandika historia,Sokoine wa pili leo ametikisa Mji wa Shinyanga kwa Mkutano uliofurika maelfu ya Wanaccm na Watanzania wasio na Vyama.Katika moja ya mambo aliyosisitiza Mwigulu ni kwamba atafia kutetea Wanyonge na Masikini kwani ndio...
  7. Tema Mate

    Mkutano wa Mwigulu Nchemba hapa Musoma Mjini, Mji umetikisika

    Mwigulu ameshatua Musoma kwa mkutano wa hadhara ndani ya Viwanja vya shule ya Msingi Mkendo;Wananchi wamehamasika sana..Mwgulu amejibebea sifa ya pekee katika siasa za nchi yetu kutokana na kuwa muwazi na mkweli kwenye kila jambo analosimamia.Pia Mwgulu ameshabadilisha upepo wa matumizi ya fedha...
  8. Tema Mate

    Mkombozi Bank: Miamala iliyofanywa kupitia Akaunti ya VIP Engineering ilikuwa halali

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AKAUNTI YA VIP ENGINEERING AND MARKETING ILIYOPO KATIKA BENKI YA BIASHARA YA MKOMBOZI Utangulizi Taarifa hii inatolewa kwa umma kutokana na ripoti mbalimbali zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari mitandao ya kijamii na taarifa iliyotolewa kwenye mjadala...
  9. Tema Mate

    Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

    Katika hali ya kuonesha kuwa Mwigulu anazidi kupenya kwenye Vichwa vya watanzania wengi,Wanasiasa,Wanafunzi,Wakulima na Wafugaji. Zitto Kabwe ambaye anatajwa kuwa Mwanasiasa bora Nchini Tanzania katika Uga wa Kusimamia anachokisema na kukijengea hoja,Zitto Kabwe wakati huu taifa likielekea...
  10. Tema Mate

    Hatimaye Mwigulu afunguka Urais,Wanafunzi,Wafugaji n.k wachangisha Fedha za Fomu

    NAKUMBUKA AKIWA ELIBORU alikuwa Kiranja Mkuu Mdogo zaidi kupata kutokea O level na kuongoza Form six.Huyo ndiye Mwigulu kwa sasa hapa Nchini
  11. Tema Mate

    Hatimaye Mwigulu afunguka Urais,Wanafunzi,Wafugaji n.k wachangisha Fedha za Fomu

    Teh teh teh mbona povu mkuu. Mwigulu miaka 4 tu kwenye Siasa za Ushindani ni Shidaaaa.Mara KATIBU WA NEC FEDHA..MARA NAIBU KATIBU MKUU..MARA NAIBU WAZIRI FEDHA...MARA MWENYEKITI WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRICA. Yaaani ni Baraka zinatiririka.
  12. Tema Mate

    Hatimaye Mwigulu afunguka Urais,Wanafunzi,Wafugaji n.k wachangisha Fedha za Fomu

    NA SISI wakusini tunasema Sokoine wa pili anatosha.
  13. Tema Mate

    Hatimaye Mwigulu afunguka Urais,Wanafunzi,Wafugaji n.k wachangisha Fedha za Fomu

    Kumbe vyeti tu Kijana?Mm nilidhani utalamba ndimu Ndoo nzima usitapike. Mwigulu Vivaaaa Vivaaa
Back
Top Bottom