Ni watu wawili tofauti aliyefariki ni mtu wa Pemba na aliyesema hayo maneno ni mtu wa bara wana familia wa marehemu wamelalamika kwa kuombewa dua mbaya mtu wao
Habari,
Kama nilivopokea (As received)
Nimeokota vyeti vya *SAMSON Y MWAMBWIGA*
1. Result slip ya form four
2. Result slip form six
3. Cheti cha kuzaliwa
4. Cheti cha kifo cha mzazi
Anitafute kwa namba 0763301018 au 0786914510
Tafadhali share kwa wengine hili tangazo liweze kumfikia mhusika...
Inaskitisha kwa kweli, dhulma aliyotendewa mtoto. Heshima yake imemponza kumkimbilia mwalimu kumpokea mizigo na imekuwa sababu ya umauti kwa kipigo!
Mungu ni mwema sana kwetu ndie aliyempa imani mwenye boda boda arejeshe pochi ya mwalimu aliyoisahau. Hii ni uthibitisho wa utetezi wake Mungu juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.