Recent content by telegram

  1. T

    Paul Makonda kufikishwa Mahakamani Februari 3, 2022 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka

    ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, sasa ameamriwa kufika mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni, Dar es Salaam, tarehe 3 Februari 2022, kujibu mashitaka ya jinai yanayomkabili.l Taarifa kutoka Mahakama hapo na ambazo zimethibitishwa na...
  2. T

    Kanda ya Kaskazini inazidi kupotea kwenye ulingo wa kisiasa katika nafasi nyeti

    Kawaida sana wachaga hawashobokei madaraka ya kisiasa. Ila ukiangalia ktk ajira ukienda kwenye ratio in terms of population ktk makabila na idadi ya walioajiriwa bado wachaga wanaongoza
  3. T

    Kanda ya Kaskazini inazidi kupotea kwenye ulingo wa kisiasa katika nafasi nyeti

    Kuna faida gani mkoa wa kilmanjaro kuwa na viongozi wa kisiasa. Jitafakurishe na ufanye utafiti wa mikoa ambayo imepata viongozi wengi then oanisha na maendeleo waliyonayo ukilinganisha na kilimanjaro ambayo haina viongozi then rudi hapa utuwekee data kiulinganisho. Kwa taarifa tu, only...
  4. T

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Jenga yako. Kwani ulimsaidia kuijenga hyo nyumba
  5. T

    Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa?

    Paskali huu mpango wa Mungu alianza kuuonesha tangu jpm alipofariki. Sasa nchi imekua na furaha tele, na sasa bado Makonda sherehe zitatamalaki kila kona
  6. T

    Siku hizi hakuna raha, hakujulikani kama kumekucha wala mvuto wa viongozi....! Mambo yapo shagalabagala...!

    Tanzania na wananchi wake ktk miaka 5 ya mwendazake walikosa raha na furaha. Sasa nchi imefunguka na wananchi wamejawa na furaha na raha
  7. T

    Tumepoteza almasi muhimu, Ndugu Lukuvi

    Yani mama kadanganywa na katanga. Atalinywa mda sii mrefu
Back
Top Bottom