ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, sasa ameamriwa kufika mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni, Dar es Salaam, tarehe 3 Februari 2022, kujibu mashitaka ya jinai yanayomkabili.l
Taarifa kutoka Mahakama hapo na ambazo zimethibitishwa na...
Kawaida sana wachaga hawashobokei madaraka ya kisiasa.
Ila ukiangalia ktk ajira ukienda kwenye ratio in terms of population ktk makabila na idadi ya walioajiriwa bado wachaga wanaongoza
Kuna faida gani mkoa wa kilmanjaro kuwa na viongozi wa kisiasa.
Jitafakurishe na ufanye utafiti wa mikoa ambayo imepata viongozi wengi then oanisha na maendeleo waliyonayo ukilinganisha na kilimanjaro ambayo haina viongozi then rudi hapa utuwekee data kiulinganisho.
Kwa taarifa tu, only...
Paskali huu mpango wa Mungu alianza kuuonesha tangu jpm alipofariki.
Sasa nchi imekua na furaha tele, na sasa bado Makonda sherehe zitatamalaki kila kona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.