Habari wadau. Nauza kiwanja Chamwino ikulu cha makazi na biashara mita za mraba 535 kina hati. Kipo karibu na jengo la mkuu wa wilaya. Bei milioni sita na nusu.
0685763018
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mi nina kaelfu tano hapa nataka nitupie na meridian bet. Nashindwa kudeposit hela niweze kubet. Naombeni msaada wenu. Pia na possible games za kuweka zilizobakia sasa hivi
Habari za jioni,
Nilikuwa naomba kwa mtu anaefahamu lolote kuhusu upandaji wa hii miti na ukuzaji wake kibiashara.
Au kama kuna thread yoyote ambayo ilishawahi kujadiliwa kuhusu hii miti naomba mnitumie.
Nimeshindwa kuisearch.
Nitashurkuru sana nikipata hii elimu.
Mkuu nimevutiwa na uzi wako.
Nami nipo kwenye hz harakt bado nakusanya nguvu.
Hivi ufuta kwa heka unaweza vuna gunia ngap kwa wastani?nipo dodoma je maeneo gani ufuta unakubali?na mahitaji yake ya hali ya hewa yapoje na gharama zake kwa heka ni kiasi gani??
Habarini za mchana wadau. Nimepitia mawazo yenu endelevu nazidi kuyafanyia kazi.
Hili la ubuyu ntalifanyia utafiti halafu ntakuja na marejesho.
Ahsanten sana kwa mawazo kweli JF ni home of great thinkers.
Mbarikiwe sana.
Habarini wadau wa JF.
Heri ya mwakavmpya 2014.
Mimi ni mfanyakazi wa serikali ndi nimehamia dodoma.
Je kwa mtaji wa 2m naweza kuanzisha biashara gani hapa mjini dodoma?
Mawazo yenu ya muhimu sana wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.