Recent content by Teke

  1. T

    Mama Mwl Janet Magufuli ni mama wa mfano wa kuigwa Tanzania pamoja na maneno yanayosemwa..yuko imara

    Miss Chaga Habari za siku!!! Yani wewe unapenda wanaume wapoooooole kama Teke?
  2. T

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Missed you Miss chagga!! Upo ughaibuni nini?
  3. T

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Hardman!!!! Haja edit kitu chochote, tafuta gazeti tajwa usome, au nenda first page ya bandiko. Tatizo ni kukurupuka kujibu kishabiki, si jambo jema. Majirani zetu eg kenyans wanatudharau sana kwa issue ndogo tu kama hii, lakini pia si lazima sana kuchangia kama mada hujaielewa. In dew respect
  4. T

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    tehe tehe tehe!!!!!! Na hao ndio great Thinkers wetu humu ndani.
  5. T

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Ripota ameandika vizuri kama ulivyoshauri, tatizo ni lako hujasoma kwa kutulia. ameandika hivyo viwango ni kwa mita moja ya mraba!!!!!! Kitu gani huelewi hapo. Kazi kweli kweli
  6. T

    Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Muwe mnasoma kwa vituo na ku comment baada ya kumuelewa mtoa mada. Dola 20 mpaka 25 ni kwa squire meter moja kwa mwezi, sasa piga hesabu chumba kimoja kina squire meter ngapi then uzidishe utapata dola ngapi then zidisha mara miezi sita. Nakutakia siku njema
  7. T

    Ajali daraja la Kigamboni: Mtu mmoja agongwa, afa palepale

    Aisee, ulipotelea wapi? Mzima lakini?
  8. T

    Magu: Bibi na mjukuu wake wafumaniwa wakifanya yao

    Nitumie picha zaidi kwa pm tafadhali
  9. T

    Kisiwani Pemba hali yazidi kuchafuka: Polisi na Majeshi yazidi kumiminika

    Uandishi wa Pasco ni wa staili ambayo unamtaka msomaji asikurupuke kusoma na kutafsiri directily alichokiandika. Msome kwa umakini utagundua yupo upande gani. Ukishindwa kumuelewa mara ya pili, nijulishe tujadili pamoja nini maana ya alichokiandika
  10. T

    no comment

    Nime kukubali! No comment
  11. T

    Nampenda sana na bado nimegundua ameniendea kwa mganga

    Nimekuelewa Miss Chaga! Mnatutesa na hicho kitu. Najua unakitendea haki kwa kukithamini, Yes; endelea kukipenda.
  12. T

    Nampenda sana na bado nimegundua ameniendea kwa mganga

    Ndiyo maana unakipenda kitu gani Miss chagga
  13. T

    Nampenda sana na bado nimegundua ameniendea kwa mganga

    Ayaaa wee kabisa! Hapo kwenye utamu ndio mwisho wa ujanja wetu vidume. Hata uwe nani hapo kwenye utamu lazima tuwapigie salute kina Miss Chagga
  14. T

    Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

    Wanafanya ki ulokole!!!!!!! Ha ha haaaaa, Miss Chagga katika ubora wako. Wanafanya ki ulokole wanaogopa kuchubuana
Back
Top Bottom