Recent content by tehama

  1. T

    JamiiForums Tanzania Suluhisho ni Serikali 3 vinginevyo kelele za Wantam zitatawala kila Rais atakapotokea Zanzibar

    Uko sahihi mkuu. Serikali iwe moja, majimbo yaongozwe na governors then mayors wawe wakuu wa wilaya. Hii itapunguza rahisi kua na mamlaka makubwa sana Majimbo hayo yaweza kufanya maamuzi na kua na uhuru kiasi kikubwa bila kutegemea serikali kuu Tunaweza pata majimbo 10 yakaweza kujitegemea...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Watanzania kama hawa wananipa moyo wa kubaki Tanzania kusaidia maendeleo

    Habari wakuu Hizi hoja makini katika video hapo chini, zimenipa moyo wa kuendela kubaki Tanzania. Tupate wananchi wengi namna hii katika kuishauri serikali Muongeaji anaonekana kutoa maoni hayo katika kipindi cha TBC. Watanzania wenye maono na hekima wapo wengi, wasikilizwe. Muda si muda...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Shilingi ya Tanzania inaporomoka, wachumi wetu mbona hamuongei chochote?

    Wacha iporomoke. Wewe unahitaji dola au pesa ya aina nyingine ya kazi gani ?
  4. T

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORMS NO ELECTION
  5. T

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji kwenye Ubia wa BRT maarufu kama UDART kwa kushirikiana na Emirates utaleta mapinduzi na huduma bora kwa abiria wa Dar Es Salaam. Big Up!

    Natumai baada ya hiyo miaka 15/20, watanzania tutakua tumepata akili ya kuendesha huo mradi Napendekeza wawekezaji wengine waje kuchukua 1. SGR mapema sana kabla mambo hayajakwenda mrama 2. KIA (huu uwanja ni pesa nje nje kabisa. Waweke na airport city kuongeza utalii pale ) 3. City & Urban...
  6. T

    JamiiForums Tanzania AIBU KUBWA SANA: Hawa ndio Wakurugenzi wakubwa wa Makampuni ya mitandao ya simu Afrika Ya Mashariki. Hakuna Mtanzania hata mmoja

    Shida kubwa hapa ni mfumo mzima wa maisha ya watanzania wengi ukifatiwa na mfumo wa elimu Wengi hatuna uwezo mkubwa wa kufikiria na kupembua mambo. Hatuna ambitions wala goals za mtu kutaka kufika mbali. Watanzania wengi hatuwezi ku apply critical thinking kwenye mambo na hatuko aggressive...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Nimekuuliza ziko wapi kwa sababu empires za whites zipo hadi leo Hivyo basi wewe ulienda shule, empire ya Mali imekufaje ? Burkina Faso wanajaribu na wameanza juzi, nipe mfano wa waliofanikiwa
  8. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Sawa mkuu. Shule sijaenda ila Shule sio kigezo cha kujua na kupembua mambo. Unatafuta tu hoja rahisi ya kujifariji na watu wa kale. Nipe mfano wa sasa wa jamii nyeusi iliyoweza kujitawala na kuendesha mambo yao
  9. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Hakuna kulishwa mkuu. Binadamu ameumbwa ajifunze na kutawala. Kama ubora wao tumeona ni mzuri, kwa nini hadi leo tumeshindwa kuufikia ? Kuna ubaya gani tukiwa na technologia ya kutengeneza barabara kufikisha huduma kwa haraka katika jamii zetu ? Kuna ubaya gani tukiishi kwenye sehemu...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Ziko wapi ? Na kwa nini zilikufa ? Je huoni asilimia kubwa ya vitu vinavyoendeshwa na watu weusi vinakufa ? Hatuna watu wanotumia akili zao vizuri. Wajinga ni wengi sana
  11. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Maendeleo ni namna ya kuwa namna bora ya kuendesha maisha yako na jamii inayokuzunguka kitu ambacho hadi sasa hatujaweza kufanya
  12. T

    JamiiForums Tanzania Sababu Kubwa Kwanini Hatuwezi Kupata Maendeleo au Baraka

    Mkuu, acha kutafuta sababu za umasikini wetu kwenye imani. Kabla ya dini mpya, mababu zetu walikuwa wameendelea ? Unatakiwa kuelewa wazungu wamefikaje hapo walipo; Wazungu tokea zamani, walikua katika sehemu zenye changamoto nyingi sana, asimilia kubwa ya watu weak hawakuweza kutoboa ila wale...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kabla ya mwezi Julai 2025, kuna jambo zito mno! Giza nene

    Mkuu, Machiavelli alielezea hii "Why the most stupid people ends in power" hapa https://youtu.be/Ix4nKNDKhTQ?feature=shared Kama nchi, tunahitaji kuwatoa hawa watu kwenye system. Case study ya modern times walioweza ni Singapore
  14. T

    JamiiForums Tanzania Leo niliingia Dark Web kumbe kuna hitman wapo Afrika Mashariki kuwalipa kushugulikia yoyote

    Inaweza kufika mahali, wananchi wakaamua kutumia hii njia. Nchi inaongozwa na watu wasio tumia akili kabisa na wanatesa wanaochapa kazi Ukijulikana ni fisadi, hufanyi kazi yako vizuri au CHAWA unakula shaba tu :D:D:D
Back
Top Bottom