Information security iko kwenye soko sana, lakini kwa ushauri wangu aachane na swala la kwenda kusoma Masters ya hiyo kitu kama anahitaji ushindani wa soko la ajira.
Afanye Professional Certification za Computer security kama CEH, CompTIA Security+, CISA, ISACA.
https://cse.udsm.ac.tz/programs/program-details/msc-in-computer-science-%28msc-cs%29
Pitia hiyo link utapata information zote kuhusu hiyo program, requirements na tuition fee
Mimi nilisoma college ya CoICT, hawatoi hiyo course ya IT with education . Ushauri wangu ungesearch undergraduate programs zinazotolewa college ya DUCE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.