Recent content by TeamLowassa

  1. TeamLowassa

    Team Lowassa itakwepwaje? Watatenda kwa haki?

    Shiiiiiiiiiiiiiiiii! Shiiiiiiiiiiiiiiiiiii! kimya kimya! Tulia usigeuke mbele wala nyuma! Tuache! Endelea kufuatilia mchezo! Hadi sasa Magu anatafuta mpira kwa tochi! Hii ni champions league! Magu hawezi ligi kubwa hizi!
  2. TeamLowassa

    Kwanini wasomi wa Tanzania wana tofauti kubwa sana na wasomi wa Kenya?

    Labda umuulize huyu hapa Mzee Mwanakijiji halafu nenda jukwaa la great thinkers utakutana na tunu za ajabu Nguruvi3 ni mmoja lakn anatuwakilisha vema!
  3. TeamLowassa

    Nawapa kazi vyama vya upinzani kwa miaka hii mitano

    KWANI TULISHINDWA? Kupata kura zaidi ya 10.2m kati ya kura 15m zilizopigwa ni kushindwa?
  4. TeamLowassa

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

    Wapi TB Joshua uapisho wa magufuli? nauliza tu!
  5. TeamLowassa

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

    Endeleeni kujipovusha kama kawaida yenu!
  6. TeamLowassa

    Kama ilivyo kawaida ya makanda, Je, Magufuli atatuachaje? Njoo hapa Kijiweni!

    HAPA NI KIJIWENI KWA MAKAMANDA, HAKUNA WRITTEN ETHICS! Yap makamanda are always very brave and smart in the game! Politics zimekwisha jana. Of coz tumepambana kipolitiki but maisha yetu individually na socially yanamata zaidi ya maamuzi ya NEC. Makamanda njooni tumtadhimini huyu mzee kama...
  7. TeamLowassa

    Usahihi: Maalim Seif hajajitangazia ushindi urais Zanzibar!

    Swadakta! Au tuseme nini lengo la kubandika matokeo ya kila kituo?
  8. TeamLowassa

    Usahihi: Maalim Seif hajajitangazia ushindi urais Zanzibar!

    No. Maalim hajasema yeye ndio rais wa ZNZ, si kwa sababu anaogopa la hasha! bali ni kwa kuheshimu utawala wa kisheria!
  9. TeamLowassa

    Usahihi: Maalim Seif hajajitangazia ushindi urais Zanzibar!

    Wakuu! Isisahaulike kuwa kila kituo cha kupigia kura kinabandika matokeo yake ya udiwani, uwakilishi, ubunge, na urais. Dhamira ya kubandika ni kwa ajili ya uwazi na uhuru kwa wapiga kura. Mgombea ama hata mpiga kura anaweza kurekodi matokeo ya kila kituo na kujumlisha kisha kubaini mshindi...
  10. TeamLowassa

    CCM Wanaendelea Kupiga Kampeni Hadi Leo Siku ya Uchaguzi!. Huu ni Uthibitisho!.

    Duuu upovu wako naona inakuletea madhara makubwa sana kiitalaam tunaita "kujinyosso"
  11. TeamLowassa

    Dr. John Pombe Magufuli Live Star TV kupiga kura Chato

    Weeee kama unadhani chenga za mwili anazijua sana dinho basi umekosea! magu ni nouma!
  12. TeamLowassa

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Mwanachuo wa wapi wewe! hakuna mwanachuo sharp ambaye amekosa kupiga kura! facilitation zilikuwa za kutosha sana tu!
  13. TeamLowassa

    Kura yangu ishaharibika

    Ahsante kwa mafundisho mazuri!
  14. TeamLowassa

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Wakati nyie mkihangaika kushika mpira kwa mikono, sie tunawapiga magoli ya kichwa na visigino tu!
Back
Top Bottom