Pocha kama ujafanya tafiti usiongeze!! Yaani unasifia TV ambazo zinaonesha recorded, tune Azam Tv upate habari za instantly na zisizo na upendeleo! Tv zako hizo ni za mlengo wa mgombea fulani
Hivi ni kwann tume imeamua kutunyima haki yetu ya kupga kura cc wanachuon tuliojiandikisha vyuoni but now tupo likizo ma-kwetu.Nimefanikiwa kufka vituo viwili hapa Dodoma lkn hkuna form no 16 Kwa ajili ya wanachuo.Nahisi co haki kikatba!!!Tupeane mtazamo.
CCM walisha wadharau wasomi wa kitanzania.wakati mko yvuoni zoezi la kuandikisha wapiga kura lilifanyika na tume haikusema vyuo vifungwe ili watu wakajiandikishe makwao ama kutafuta utaratibu unaofaa kuhakikisha wanavyuo wanapiga kura lakini leo hii wakati wa kupiga kura wameamuru vyuo visifunguliwe ili wanavyuo wapige kura makwao huku tume ikijua hamkujiandikishia huko mliko.connect dots.Hivi ni kwanini tume imeamua kutunyima haki yetu ya kupga kura sisi wanachuo tuliojiandikisha vyuoni but now tupo likizo ma-kwetu.
Nimefanikiwa kufka vituo viwili hapa Dodoma lakini hkuna form no 16 kwa ajili ya wanachuo.Nahisi sio haki kikatba!
Tupeane mtazamo.