Naombeni kuelimishwa juu ya matumizi ya hizi oil,Maana kiukweli bado sijaelewa tukiwa humu wengi wanasema tutumie 5w30.Mtaani kwenye jamii zetu wanatumia 20w50 ukweli ni upi?na je mfano gari yenye km 197000 na yenye km 68656 natumia oil hiyo hiyo au inakuwaje?
Nashukuru Kwa majibu brother yaani watu wamenishambulia cjui mafuta cjui tafuta Hela cjui Nini bila hata kujua uhalisia ukoje duh jamii forum ya siku hizi ni hovyo sana tofauti na mwanzo
Habari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Habari zenu Mara nyingi nimekuwa nikipitia comment za watu humu suala la Rpm limekuwa likiongelewa sana
Naomba kujuzwa kwamba ili gari itumie mafuta vizuri Rpm inabidi iweje na je Kuna uhusiano gani Kati ya mwendo kasi na rpm kuwa juu au kuwa chini msaada tafadhali
Nyuma ya hili Sakata la Bandari Kuna mengi sana ya kujifunza na kuyatazama ukiangalia tu licha ya huo unaosemwa kuwa ni mkataba kuwa na changamoto nyingi lakini pia imekuwa Kama EXIT DOOR ya mambo ya kisiasa kumbuka kabla ya yote hayo hakukuwa na mikutano Wala Uhuru huo wa watu kujieleza kwahiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.