Habari!
Wanajukwaa siku za hivi karibuni bandarini kumekuwa na hali mbaya sana katika uingiaji na utokaji wa malori bandarini lori ambalo linaanzia foleni malawi cargo mpaka lifike kitopeni liingie bandarini lipakie litoke lije litumie mizani wa Malawi cargo ni kama 4km tu lakini lori...
Mkuu hii kwangu ni tofauti kabisa hakuna ndoto naipenda kama nipo shule nina ndoto kubwa sana ya kupata elimu kubwa hivyo ndoto nikiwa shule ni ndoto ambazo nazitafsili kama ktk ulimwengu roho ndoto yangu ya kupata elimu bado inatambulika na bado inaishi napata faraja kubwa sana kuwa siku...
Maombi yangu ya mfungo yamekuwa ndio mapinduzi ya maisha yangu nikiwa mkoa 2014 nilifanya mfungo wa Mungu anipe maarifa ya maisha nilifanikiwa kupata katiba itakayoongoza maisha yangu yote iliosheheni kila lililopo katika jamii.
Nimeweza kuishi katika misingi ya katiba yangu mpaka napotaka kuwa...
Nanufaika watesi wangu wanaonunua sukari bei juu usafiri bei juu na katiba mpya wataisikia huko na tume huru ya uchaguzi tutakuwa tunabadili label tu radha ni ileile mpaka namba isomeke.
Mkuu upo sahihi 100% Rukwa miji yake imekuwa na kasumba hiyo si tu stendi bali pia minada yote muhimu huwekwa nje ya mji kama Namanyere Nkasi pia ilikuwa hivyo ktk stendi lkn ilikuwa hivyo ktk Mnada na hospitali kwa utafiti usio rasmi lengo ni kupanua na kukuza mji njia hii imekuwa ndio chaguo...
Amesoma uzi vizuri na jinsi alivyokujibu yupo sahihi amejikita ktk matatizo ya sasa yanayotusumbua kwa mujibu wa uzi wako umekurupuka kuandika awamu ya tano ukiwajibika vyema ktk nafasi yako hakuna litakukuta baya , na swala la upinzani uchwala pia huwezi kuwa salama awamu ya tano jikite...
Nenda mahakamani au peleka popote unapohisi utasaidiwa usiishie hapa tuachieni mtu wetu apumzike
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Viongozi wetu wanahusuda na wivu vijana wanaopewa nafasi ni vijana wao na wanawafunda uhuni wao ndio maana taifa lina vijana ambao hatuoni mabadiliko vijana wenye uwezo wanaojitosa kwa nguvu zao wanafilisiwa wanapewa kesi za ajabu ajabu wametengenezewa chuki kwa wananchi maadamu mapinduzi ya...
Jimena naomba kujua kama nimekuelewa ujumbe wako unamaana kuwa nahitaji kuishi mimi kama ninavyojisikia ndani yangu kufuata ile kweli niliyonayo hasira,chuki,au changamoto yoyote isiwe kubwa kuliko dhamira na malengo yangu sheria na kanuni za manabii sio zangu ni zao wao maana yake nizishike...
Mtu umetulia zako na Mungu wako shida iko wapi? Yaani mwenzako kuabudu kwake wewe kinakuuma mpaka unaona ulipue kanisa cha ajabu sio mmoja ni kundi ambalo zaili walikaa vikao kuratibu unyama huu kibaya zaidi viongozi wa juu ukiliona li jitu limechafuka sura kwa ndevu kumbe ligaid la kutisha
Bro unaneema kubwa wala usijali wala usichoke wala kukata tamaa hakikisha unakuwa na watu zaidi unavyoweza waache wafanikiwe ipo idadi yao ktk kiganja cha Allah itakapotimia niamini mimi si binadamu wa kawaida utakuwa na mafanikio ambayo hakuna yoyote unayemjua alifanikiwa mara baada kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.