Recent content by Taz

  1. Taz

    Dr. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria

    Aisee, Ngoja utaskia kambi ya "upinzani ya ndani ya chama cha upinzani" ndio walimpa hiyo idea ili kumuua babu kisiasa. watachunguzana kiintelijansia vizuri, watajua nani alileta hili wazo, na ikibidi "watamsafisha".
  2. Taz

    Dr. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria

    Sikonge apokelewa kwa shangwe na maelfu ya watu (rofl): http://chademablog.blogspot.com/search?q=mtakuja&max-results=20&by-date=true
  3. Taz

    Dr. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria

    hapa ana "tikisa" mtakuja. hehehehe #TrueStory Chadema Blog: Search results for mtakuja
  4. Taz

    Dr. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria

    mbona mlitoa post yangu niliweka alivyo "funika" Tura this december 19th? nimeitoa home page yetu chadema: http://chadema.or.tz/wp-content/uploads/2013/12/Slaa-kuhutubia-Tura-1..jpg
  5. Taz

    Sala kabla ya tendo la ndoa...

    Sala kabla ya tendo la ndoa? hahahaha, I'm not sure it's a good idea! you be like: Bwana tunakuomba utuwezeshe tendo hili tunalo taka kushiriki katika jina lako Yutangulie, eh bwana, na utuhepushe na pepo zote zinazo wesha kutokosesha malengo yetu Tunakemea katika jina lako tukufu pepo zote za...
  6. Taz

    Uranium Mkuju: Serikali imetoa leseni bila kujali madai ya Kodi

    Toka facebook page ya Zitto Kabwe
  7. Taz

    Zitto Kabwe ndani ya Iramba kumvuruga Mwigulu Nchemba

    Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe1h 1/6 Mkutano mzuri na wenye kutia matumaini, #Shelui #IrambaMagharibi. Ajenda kubwa ilikuwa madini na wachimbaji wadogo kulindwa. 2/6 Tutawatetea wananchi kupata maeneo ya uchimbaji kama Sheria ya Madini 2010 inavyoagiza. #IrambaMagharibi #CHADEMA...
  8. Taz

    Sifa za Mume mwema

    How ironic!
  9. Taz

    Leaders and the Arrogance of Power in Tanzania

    Kabla ya kuchangia ningependa niwasilishe hii analysis ya correlation kati ya misaada na uongozi. (Source: Raia Mwema - Misaada na madini: Laana au baraka kwetu?) Misaada na madini: Laana au baraka kwetu? Zitto Kabwe Toleo la 27426 Dec 2012 Tanzania imekuwa moja ya nchi kipenzi kwa mataifa ya...
  10. Taz

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Eti Dk Slaa kajikopesha mamilioni ya ruzuku? Imeandikwa na Henry Mdimu on Wednesday, January 16, 2013 | 11:10 HALI ya mambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),si shwari baada ya kulipuka mgogoro mzito. Mgogoro huo, unamhusisha Katibu Mkuu wa CHADEMA,Dk. Wilbrod Slaa kuwa...
  11. Taz

    Zitto Kabwe na January Makamba ndani ya UK Financial Times leo

    Financial Times Tanzania special report: Politics - Young activists bring a belief that things must change (source: Politics: Young activists bring a belief that things must change - FT.com) As with everything he does, Zitto Kabwe’s short-sleeved khaki safari suit is deliberate. Mr Kabwe, who...
  12. Taz

    Zitto awasilisha hoja binafsi juu ya walioficha fedha Uswiss

    Wamekata matangazo ya bungeni radio. Ujinga gani huu sasa? Halafu watasema serikali hii imetupa uhuru wa vyombo vya habari kweli???
  13. Taz

    Zitto awasilisha hoja binafsi juu ya walioficha fedha Uswiss

    Nimependa sana mapendekezo yake. Bravo mkuu. Namsikiliza Mwanasheria wa serkali, anasema benki hazijulikani zilipo. Sasa kama Zitto aliweza kupata address ya hizo chache kupitia wachunguzi binafsi, kwanini serikali ishindwe kuwalipa watu hao walete data??? HIzo pesa zikirudi hapa zinaweza...
  14. Taz

    Chaguzi za CCM: Undugunisation au majina kufanana tuu?

    Vipi Pepe Kale wa Bongo, AKA Le Muntuz, Le Baharia, Mzee wa Wassup na ha ha ha ha ha ha william W. Malecela?
Back
Top Bottom