Recent content by tausi2020

  1. T

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Nyegezi (Mtaa wa Mpambije Street na Kumalija) Wanalazimika Kuchimba Visima vya Maji Kutokana na Ukosefu wa Huduma ya Maji

    Wakazi wa Nyegezi (Mpambije Street, Ellys na Kumalija) Wanalazimika Kuchimba Visima vya Maji Kutokana na Ukosefu wa Huduma ya Maji Ukosefu wa maji umeendelea kuwa kero kubwa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza, hususan katika mitaa ya Mpambije Street, Ellys na Kumalija, Nyegezi. Kwa kipindi kirefu...
  2. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya Maji Mwanza (MWAUWASA) wajibikeni, Nyegezi na viunga vyake kukosa maji imekuwa tatizo sugu

    Kukosekana kwa huduma ya maji katika maeneo ya Nyegezi na viunga vyake kumegeuka kuwa tatizo sugu na la kudumu, linalojirudia kila mara bila ufumbuzi wa msingi. Tangu sikukuu ya Krismasi hakuna maji, hali ambayo imewaweka wananchi katika adha kubwa ya maisha ya kila siku. Licha ya kurudiarudia...
  3. T

    JamiiForums Tanzania KERO MWAUWASA imewaangusha wakazi wa Mwanza tatizo la maji limegeuka fedheha ya kudumu

    Kile kinachoendelea Mwanza si hitilafu ya kawaida, bali ni aibu ya wazi, uzembe wa makusudi na kutowajibika kwa kiwango cha juu kabisa kutoka MWAUWASA. Mwezi mzima uliopita Nyegezi haikuwa na tone la maji. Hakuna taarifa, hakuna maelezo, hakuna uwajibikaji—mpaka wananchi walipopiga kelele ndipo...
  4. T

    JamiiForums Tanzania KERO MWAUWASA, tunaomba taarifa ya haraka. Kwa takribani mwezi mzima Yengezi yote hakuna maji

    MWAUWASA, tunaomba taarifa ya haraka. Kwa takribani mwezi mzima Yengezi yote hakuna maji, na sasa tatizo limejirudia tena bila maelezo yoyote kutoka kwenu. Wananchi tunapata usumbufu mkubwa—maisha, afya na shughuli zetu zimeathirika. Tunaomba maelezo ya wazi: Tatizo ni lipi hasa na kwa...
  5. T

    JamiiForums Tanzania MWAUWASA: Maeneo ya Milimani Mwanza hukumbwa na upungufu wa maji kutokana na msukumo mdogo

    Hujyu hata aibu aibu hana mwauwasa umesomea nini? Unasema eti milimani? Msukumo mdogo? Ziwa liko wapi? Alafu hii tabia ya kusingizia tanesco muache tanesco wanajitahidi sana msitake kufa nao. Uoni aibu kusema walau mara tatu? Iundwe timu izunguke maeneo ya nyegeze na mitaa yake na mkolani...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mama karibu Mwanza tarehe 08 kwa kampeni (Anza na watu wa Mwauwasa na TANROD)

    Wananchi wanataka usimame hadharani juu ya mambo mawili makuu ambayo yamegeuka mateso makubwa na fedheha kwa jiji: Maji – Takribani mwezi mzima chanzo cha Butimba kimeharibika. Ulizindua mradi huu kwa matumaini, lakini hali imeendelea kuwa mbaya zaidi: Hata mgao wa siku mbili kwa wiki...
  7. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mama karibu Mwanza tarehe 08 kwa kampeni(Anza na watu wa Mwauwasa na TANROD)

    Wananchi wanataka usimame hadharani juu ya mambo mawili makuu ambayo yamegeuka mateso makubwa na fedheha kwa jiji: Maji – Takribani mwezi mzima chanzo cha Butimba kimeharibika. Ulizindua mradi huu kwa matumaini, lakini hali imeendelea kuwa mbaya zaidi: Hata mgao wa siku mbili kwa wiki...
  8. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza kuwa na changamoto ya maji ni aibu kubwa sana kwa jiji lenye vyanzo vingi vya maji kama hili

    Aibu sana alafu watendaji especilly wa chini wanafharau sana mkurugenzi wanamdanya sana . Mostly maitaa mingi hata maji yakiwepo ni marambili kwa wiki tu na wanatoa kwa mda mfupi na spidi ni 0. Wamewatesa watu mwezi mzima laiki magari yao ya kuuza maji yanaendelea kama kawaida. Nadhani kwa...
  9. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza Yageuzwa Jangwa: Wiki ya Tatu Bila Maji, Viongozi Wanaendelea na Siasa

    Mama anakuja tareh 08 wamesha tangaza so atajibu hii kero ya maji na nadhani ataondoka na viongozi hawa wa idara ya maji maana hawachukui action yoyote
  10. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza Yageuzwa Jangwa: Wiki ya Tatu Bila Maji, Viongozi Wanaendelea na Siasa

    hii inaweza kua na ukwel ndani yake maana kwel hayo magar tunayaona
  11. T

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza Yageuzwa Jangwa: Wiki ya Tatu Bila Maji, Viongozi Wanaendelea na Siasa

    Ukweli Mchungu Viongozi wa mkoa wa Mwanza wanaendelea kukwepa ukweli na kugeuza hali ya maji kuwa siasa. Tayari ni takriban wiki ya tatu sasa jiji la Mwanza linakumbwa na ukosefu mkubwa wa maji. Hivi karibuni mkuu wa mkoa alitangaza wazi kwamba marekebisho yamekamilika—lakini hali halisi kwa...
  12. T

    JamiiForums Tanzania UDSM mwaka huu kuna nini?

    Hata udom au vyuo vingine vishajaa capscity walio pewa ni ndogo sana boss these year
  13. T

    JamiiForums Tanzania UDSM mwaka huu kuna nini?

    Hii issue ya capacity bila kujua madhara yake itasumbua sana mwaka huu vijana wengi watakosa vyuo.TCU ametoa very low capacity kwa vyuo mwaka huu na amafanya mabadiliko ya mitalaaa kwa mihemko ikiwemo kufuta fani mbalimbali. Mfumo wetu wa elimu umebaki kua wa kuchokonolewa kila mara subiri...
  14. T

    JamiiForums Tanzania UDSM mwaka huu kuna nini?

    Ukweli ni kwamba capacity ya vyuo vikuu huu mwaka iko limited sana na TCU inejisahau kua ufaulu uneongeza kwa kiwango kikubwa. Mfano TCu anabana vyuo vikuu kwa ratio ya 1:50 students per staff ukijiuliza hii inawezekanaje? Hata shule za sekondari hazifanyi hivi. Kwahiyo unaweza kuta kwa mihemko...
Back
Top Bottom