Kwa mentality ya kibinafsi ya Mwafrika mwenye asili ya Kitanzania wa Karne ya 21 sidhani hata kina Mandela na Mugabe waliokimbilia hapa Tanzania wakiwa wanapambania na wakoloni nchini mwao wangeeleweka
Kuna maneno wazungu wamewahi kutamka "good times create weak men", yaani "nyakati nzuri...
Sasa kama Wazee hawaumii mpaka kuandamana nje ya ofisi za NSSF mimi nifanye nini? kama watu wa kimara hawaandamani kupata mabasi zaidi kwenye vituo vyao mimi nifanye nini?
Jibu hili hapa linaonesha hata misingi ya kiimani wazazi wako hawajakusilibia, let me guess...... ulivyoleft na Mungu umemsahau? hilo shimo rohoni halikupi ukakasi? Wazazi wamekubaliana na lifestyle yako?
wameendelea kwa kusacrifice dignity, Mola wangu anajua na mapungufu yangu yote nimesitiri utu wangu and that's enough
Yaani mwanaume atembeze kinyeo kukimbia dhiki afu wapambe wake mje kunicheka mtandaoni? are you serious?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.