Kuna mtu mtaani aliniambia marehemu akifa akaacha deni Bank basi Deni hilo linasamehewa na kwamba Bank inalazimika kutoa pia mkono wa pole kwa wafiwa. Hii ni kweli ?
Je, nikiwa nimekopa Mkopo katika Benki yoyote nchini Tanzania (NMB as case study) alafu kabla sijamaliza kulipa Mkopo huo, Nikafariki. Je, Mkopo huo bado utatakiwa kulipwa ? Kama ni ndio, je ni nani atawajibika kulipa ?
Naomba Ufafanuzi pamoja na msimamo wa Sheria katika jambo hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.