JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Natafuta mume
]Msimkatishe tamaa jmn, huwezi jua kilichomtokea mtu mpaka kufikia hali hiyo. Anaekidhi vigezo amfuate sasa wengine mapovu mengi na maneno ya kejeli juu. Duuu
wengi wao wanaokatsha tamaa ni wale wanaume suruali ambao hawawezi kukidhi vigezo watakavyo wanawake kama unaona post haikuhusu pita kushoto