Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja na Mwajiriwa wa Serikali. Natafuta mume mwenye status kama yangu. Kama yupo tayari anitext PM kwa maelewano na maelezo zaidi. Umri 40 na kuendelea.
]Msimkatishe tamaa jmn, huwezi jua kilichomtokea mtu mpaka kufikia hali hiyo. Anaekidhi vigezo amfuate sasa wengine mapovu mengi na maneno ya kejeli juu. Duuu
wengi wao wanaokatsha tamaa ni wale wanaume suruali ambao hawawezi kukidhi vigezo watakavyo wanawake kama unaona post haikuhusu pita kushoto
iliwahi kutokea kwetu hiyo tulifunua mfuniko wa chemba wakati wa kusafisha tukasahau kurudishia mfuniko usiku mtu alipoingia toilet akakutana na nyoka kwenye sink
kweli kabisa hujui binti ana nini huwenda ni muathirika ongea naye taratibu na uwe wazi ni kipi ukitakacho kwake kama ni ndoa basi ufuate taratibu sio siku ya kwanza tu unataka mzigo
Yaani valentine ya mwaka huu nimeshinda ndani tu sikuwa na wa kutoka naye kama wenzangu ngoja nianze mapema kabisa kufanya mipango kwa ajili ya mwakani.
Roho iliniuma mno hasa nilipoona watu wanapita wakiwa wawili wawili wakienda dinner,ngoja nianze mapema kujipanga upya mwakani isinipite tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.