Loh, hapana! Ingawa Gwajima anaelezea nini kianze kati ya reli na kuchimba chuma, wewe umepotoka kabisa kufikiri kuwa chuma ni bidhaa kama zingine tu. Ukiacha Uingereza, nchi ya kwanza kuwa na viwanda, nchi zingine zote zilizoendelea zimeendelea kutokana na chuma na makaa ya mawe. Soma kuhusu...
Yaani kuongea kwa hamasa bungeni ndiko wewe unaona kuna faida kuliko wenye PhD za kweli wanaofanya utafiti, wanaofundisha wengine elimu ya juu, wanaoweza kubuni na kutafsiri mienendo ya dunia kwa nyanja mbalimbali, wanaotafakari na kubuni mipango ya taifa, wanaowakilisha taifa kwa mataifa na...
Ndiyo, inawezekana kufanya hivyo. Kwanza, jiwe la msingi linaonyesha commitment ya Tanzania kwenye mradi; Kuwepo kwa wawekezaji hao pale kunaonyesha uelekeo tu, siyo commitment kwao. Pili, kunaweza kuwa na makubaliano ya MOU, siyo agreement. Kwa uwekezaji huo, unahitaji agreement. Tatu, lugha ya...
Tumheshimu Gurnah mwenyewe. Pamoja na kuikimbia Zanzibar, bado anajihisi kuwa ni Mtanzania, na sisi tufurahie hisia zake kuwa ni mwenzetu. Tusiwahukumu watu binafsi waliojikuta kuwa wakimbizi kutokana na mapinduzi ya 1964. Mapinduzi yo yote yana uzuri na ubaya, na yanaathiri watu kwa utofauti...
Ukitaja jambo nusu nusu kwa makusudi una ajenda ya kusema uongo. Jacob Desvarieux alikuwa na kisukari kikali hadi alipoteza figo. Alikuwa na figo za kupandikiza. Ili figo hizo zifanye kazi ilikuwa ni lazima atumie dawa za kuzuia kinga (immunity suppressing drugs). Maana yake ni kuwa alikuwa...
Hapana. Sayansi ya ubora na usalama wa chanjo hizi vilijulikana wazi toka mwaka 2020 mwishoni. Kwa sababu tusizozijua ndipo Uongozi wa Tanzania ukapiga vita chanjo. Waziri Gwajima na wenzake walijua ubora na usalama wa chanjo wakati huo, lakini wakaendelea kuwadanganya watu kuwa ni mpango wa...
Kweli ujinga ni ghali. Eti sasa wananchi wa kawaida wana elimu ya kujua kilichomo kwenye chanjo kuliko wasomi. Yale yale ya kutotaka maprofesa na kuwataka akina Musukuma/Msukuma. Nchi imerudi 1950
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.