Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hivi Wewe jamaa una akili Kweli?Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
nenda kachanje kama unajipenda achana na mambo ya waingereza