Nadhani wanahama chama kulingana na ufinyi wa kujenga hoja kwa mgombea wao mf anasema akiwa rais walimu atawapa laptop hii inadhihirisha waz pombe kaisha lewa hajui hali ya shule za tz na maisha ya makazi ya walimu yalivyo so nachangia hii mada mimi km mwl ninaifundisha shule isiyokuna na ofisi...
Atahutubia saa ngap na redio gan inaruxha matangazo make huku kwetu ccm walitutenga hawajatupa huduma ya umeme nawasubr niwachinje na vijana wangu wapatao 100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.