Recent content by tata umuya

  1. T

    Zitto: Tumependekeza kumvua ujaji Mh. Werema

    Jaman hiv report ikisomwa jtano mtabadili maneno yenu au lah? Am proud of werema na naamin report itaonyesha ni namna gani alivo makin kuishauri serikar maana hakuacha ata chembe ya taratibu zakisheria..sasa mie nasubir jtano then ttashauri jukwaa la siasa mods wajaribu Ku weigh nan anaweka nn...
  2. T

    CCM yafutika rasmi Mara

    Apige upande wa wanannchi iyo ilikua meza kuu mtatokwa povu Sana mwaka huuu
  3. T

    CCM yafutika rasmi Mara

    We ni muongo hzo picha ni za mkutano wa iringo na hzo nyumba ni za custom...shame upon you
  4. T

    Uraia pacha: Maslahi binafsi dhidi ya masilahi ya Taifa

    Safi Sana kuna watu wanamasilai chanya na nchi yetu kutetea hili lakin wanaaindwa kua recognized kwa ushabiki wa wapuuzi wachache na maslai yao binafsi Echo werema jaji kwa kulisimamia hili bila woga
  5. T

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Fredrick Werema atazungumza na Wanahabari kesho - Agosti 16

    Watu wakuona mapungufu tu watanganyika wenzangu dah? Afu most wanajiita wasoma u criticize hata hujasikia na kuelewa...poor tanzania
  6. T

    Natamani maprofesa wetu wawe kama Prof. Lumumba

    Usimpinge mtu kwasababu ameandika au kusema usicho kipenda na ukamsifia mtu simply katoa kilicho upande wako
Back
Top Bottom