Recent content by Taso

  1. T

    PreGE2025 Naibu Waziri Deus Sangu: Mimi ni mafia, nitawashughulikia wanaotaka kugombea jimbo la Kwela

    Mshahara pamoja na ma sitting allowance na travelling allowance kwa mwezi ni milioni 18. Tuseme 20. 20M X 12 X 5 years = 1.2 billion TSH Kiiunua mgongo milion 200 Jumla 1.4 bilion kwa miaka 5 Zinafikaje bilioni 10 ?
  2. T

    Picha: Ajali mtu mmoja adaiwa kufariki, BMW X5 yateketea kwa moto, dereva akwepa Ng'ombe na kugongana na basi la ABC

    Labda alishindwa kutoka. Ndo maana huwa sipendi ku lock milango. Ulaya sehemu zenye wanyama wanyama wanaokatisha ovyo huwa zina alama.
  3. T

    PreGE2025 Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi

    Haijafahamika amepelekwa kituo gani cha polisi. Kumbe watu hao walikuwa ni polisi? Basi angalau tunajua kachukuliwa na nani
  4. T

    CHADEMA yalaani Shambulio Dhidi ya Dkt Kitima

    Ushauri wangu kwa Brenda, Kurugenzi ya Mawasiliano Utuambie specifically Kitima amekuwa akifanya nini ambacho ndicho tatizo, ndicho motive ya watesi wake. Mkisema tu Kitima, au Sativa kashambuliwa, au Soka kauliwa, hiyo hai i-implicate serikali. Ni mpaka utuonyesha specifically the...
  5. T

    Magufuli Pamoja na kuwa Waziri ila watoto wake wote aliwasomesha primary Kayumba. mzee aligoma Jesca kusoma shule za Mabasi ya njano

    Tundu Lissu hatakata hayo mafao kwa saab hayapo tangia hapo! Jesicca kasema, kwa fadhila ya Samia, bibi yao mgonjwa kazungukwa na manesi muda wote. Anaumwa toka baba hajafa. Sijui anaumwa nini lakini anaweza kuwa anatugharimu nusu milioni kwa siku. Kuna sheria inayosema Rais mstaafu na mke...
  6. T

    Hotuba ya Rais Samia ikipishana na matarajio ya raia, ina maana gani?

    Selassie na Ghadafi sijawahi kuwasikia hotuba zao. Kuna li mtaa moja kuuubwa Dar linaitwa Haille Selasie. 99% of Watanzania we have no freaking clue Selassie alisema nini, alisimamia nini. Tunaenda mbali mno kutafuta ma hero ! Pombe Magufuli kila alipoongea na Taifa kesho yake uswahilini...
  7. T

    PreGE2025 Baada ya kukamatwa Kisutu, Naibu Katibu Mkuu CHADEMA-Zanzibar apatikana, adai kupelekwa Pori la Mabwepande na kupigwa sana

    Broo Ushabiki gani nimefanya hapo ??? Nilikuwa sijui huyu kijana aliuliwa Kwani nimetetea alivyouliwa ? Unashindana na watu ambao wana sympathize na hoja yako. Na sikujua kumbe huyu ndio Deus Soka. Ndo nimem google hapa nimejua jina. Nafahamu alikuwa anapinga bandari. Mungu wangu weeeeee...
  8. T

    Ally Kamwe akataa uchawa; Aziheshimisha taasisi za kiraia mbele ya serikali

    NI ALMOST HAKUNAGA mtu, mwanasiasa, bilionea, mwanaharakati, askofu, shehe, mtu wa system mstaafu, ambae huwa anaweza kusimama hadharani na kuiambia serikali: 1. Nina shughuli yangu sitaki kiongozi wa serikali aje ! 2. Nina hela yangu ya mfukoni nitatumia in one day kulisha wananchi ( ng'ombe...
  9. T

    CIA: Vituo vya Siri vya Operesheni za CIA Vilivyosambaa Duniani Vyatajwa kwenye Mafile ya JFK Yaliyowekwa Hadharani na Trump

    Balozi zote ni ofisi za ujasusi, kweli kabisa Hamna kipya kilichoanikwa hapo. Wazungu hawanaga masiri ya kijinga jinga kwa vitu vidogo vidogo. Rais wao tunamwona ofisini anasaini makaratasi wazi wazi. Sisi hapa kwetu eti ukuta wa fensi ya Ikulu umeandikwa usipige picha ukuta! Sasa ndani ya...
  10. T

    Paul Kagame aionya Ubelgiji "Nyinyi sio Mungu, tutawakabili"

    Sawa Afrika inaamka lakini sio sisi. Tanzania mpaka leo mabango ya biashara yanatumia picha za wazungu na maandishi ya Kichina. Na hakuna anayeona tuna shida ya ku kiss ass ya mweupe. Mradi kuna mabango ya uchawa kwa huyu mama, basi wanaona tuko poa.
  11. T

    Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

    Hela za misaada wanatapanya kununua na ku service ma Land Cruiser ya serikali na kuyajaza mafuta. Wanajilipa mpaka vocha za simu. Imagine Tanzania kuna radiology machine moja tu ya 5.0 Tesla. Watu wanatoka Songea kwenda Muhimbili kuifuata. Watu wanakufa wakisubiri kipimo, au kwa kukosa uwezo...
  12. T

    BURE; Jinsi Ya Kutumia GPS App Kwenye Simu Janja Kupata Vipimo Vya Shamba/Kiwanja

    Mi nahitaji feature ya kutafuta beacon. Niingize namba ya jiwe simu inipeleke lilipo au linapotakiwa kuwepo jiwe. Lakini sasa jisui kama namba ya jiwe la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke inasoma huko makao makuu ya GPS.
  13. T

    Ziara ya Lissu Uganda: Alimsifia Nyerere kwa 20% lakini alimdhalilisha pia kwa 80%

    Unaitwa Baba wa Taifa. Unakataaje kuhusishwa na mambo mabaya ya Tanzania ambayo yako hivi hivi toka wakati Taifa linaanza ? Baba wa mji atahusishwa na kisomo kizuri cha watoto, na m⁹alezi bora, lakini pia na njaa za familia na watoto aliozaa zaa nje na pombe na mishikaki aliyokuwa anakunywa...
  14. T

    Ziara ya Lissu Uganda: Alimsifia Nyerere kwa 20% lakini alimdhalilisha pia kwa 80%

    Unaitwa Baba wa Taifa. Unakataaje kuhusishwa na mambo mabaya ya Tanzania ambayo yako hivi hivi toka wakati Taifa linaanza ? Baba wa mji atahusishwa na kisomo kizuri cha watoto, na m⁹alezi bora, lakini pia na njaa za familia na watoto aliozaa zaa nje na pombe na mishikaki aliyokuwa anakunywa...
Back
Top Bottom