Njia moja ya kuwakataa hawa heartless jambazis kwa mfano ni kumpiga chini huyu Shabiby uchaguzi ujao. Tuwe serious na mambo yanayohusu uhai wetu Watanzania, tuamke!
Na pia tuache kuitukuza serikali kwenye kila nyanja ya maisha yetu. Siku Kuu ya Pasaka inaweza kunoga bila kumwita Majaliwa akae...
na tusidhani hiyo bima itafanana kwa wote.
Ukienda kwenye dirisha la bima pale Aga Khan, kuna karatasi imebandikwa ukutani inasema kama hufanyi kazi kwenye taasisi zifuatazo usisogeze pua yako dirisha la kushoto:
Benki Kuu...
Bunge...
NMB...
TRA
Workers Compensation Fund...
Ofisi ya...
Samia kakamilisha the dirty job, kamuondoa Makonda kinguvu.
The take home lesson ni kuwa KATIBA ya CCM haina nguvu mbele ya Mwenyekiti.
Siku Mwenyekiti akiona Katibu Mkuu Kinana anamzibia mishe zake CCM (kumbuka Samia anapenda sana viongozi vitoto vitoto vinavyomwamkia Shikamoo Mama akiingia...
Ni kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi za CCM.
RAIS, au kiongozi yeyote wa serikali, hawezi kuwa kiongozi ndani ya chama bila idhini ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
Mwenyeki hakupata idhini ya Kamati Kuu. Ndo maana Makonda kaitishiwa kikao NEC wamtengue haraka.
Si lazima tuheshimu taasisi ya Rais. Hizo ni mentality za ki third world. Na ndo zinaturudisha nyuma. Viongozi wetu hawako accountable for anything they do. They are basking in impunity
Tunapaswa kumkosoa Rais!
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati vyote ni vyeo vya serikali
Mfano wako ni mbovu
Katibu wa CCM hawezi kuwa Mkuu wa Mkoa
Ndio maana leo NEC wanaenda kumwondoa
Tusijitoe ufahama kutetea kishabiki uozo wa kiutaratibu na kikatiba
yes we care, what do you mean who cares?
wanachama wa CCM wanajali, na wananchi wanajali, wale wanaojua madhara ya viongozi kuvunja taratibu bila kuathirika, administrative impunity
hawezi kufanya kazi zote mbili, kwa hiyo NEC inalazimika kum replace,
kusema kwamba bado ni Mwenezi ni kujitoa ufahamu
Mwenyekiti ametumia mabavu kuidharau NEC
ASIYEKUTEUA HAWEZI KUKUTENGUA
KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI
TOLEO LA 2022
IBARA YA 102
Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa
zitakuwa zifuatazo:-
KIFUNGU CHA 12
Kuchagua Katibu wa Halmashauri Kuu
ya Taifa wa Itikadi na Uenezi
KIFUNGU CHA 21
Kumwachisha au kumfukuza Uongozi
kiongozi...
Kama bado unaamini Muungano unaweza kuwa na faida then usije kulia lia machozi na mafua hapa.
Tutafakari faida! Nani atafakari, wewe tafakari halafu uje utuambie!
Hamjui kama faida zipo au hazipo miaka 60 imepita, mtajua lini sasa ????
Yani Tanganyika bado mnabembeleza Muungano ? Mazuzu sana...
Mtu akisoma taarifa hii, kama ana akili, lazima aangalie ramani kujua jee, kupitia ziwani kunaweza kumrahisishia msafiri japo kipande cha safari kwenda kwa mfano Rwanda kutokea Mwanza ? Hapo ndio utajua ni kwa kiasi gani kauli ya serikali imekosewa na labda walinuia kusema nini.
Lakini wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.